Let me give time think on yr advice...! You the only bad thing is that after all that kindhearted to her mom what if she doesn't care all goods i have done to her! Wanawake nyie always ni opportunists possible badae asione wema wangu nadhani nitaumia sana....! Sasa hivi anashida analia na kujigalagaza chini but kusahau ni siku chache zijazo.
I agree with you .because we are humans and humans have nature inside.. hii si kwa wanawake tuu hata kwa wanaume pia. Kuna watu nawafahamu wamesomesha wapenzi wao , Lea watoto si wao kwa nia njema tuu na kuwapa vibali vya kuishi nnchi za nnje but still pamoja na kufanyiwa yote waliwaacha na kuwa na vimada wengine .. or kuwa na wanaume wengine. ..( hii imewakuta wadada wengi kuliko wakaka) . Hivi tukifikiria mangapi mazuri tuliyowatendea watu wengine halafu ni mangapi mazuri waliyoturudishia? Hatutaweza Kuwahudumia wengine ....So try to do things from your heart in Godly way without expect something back ..but to Hope for the reward from God.. Thanks..