Kama baba mtoto anataka kumpeleka mwanae boding mshauri mchumba wako akubali.Kama vipi jaribu kwa kujifanya wewe ndo unataka kumpeleka boding angalia pumzi zake kama atakubali ndo uanze kumshauri amkuballie baba mtoto wake kumpeleka mwanae bweni.
Lakini waswahili wanasema ukipenda boga penda na ua lake.Vinginevyo ukiacha mawasiliano yao yaendelee watakuwa wanakumbushia enzi.Mpende mtoto wa demu wako.
Boarding mtoto wa miaka minne jamani? C`mon, have a heart my dear!