Anataka nimpe mimba azae na mimi ila ni mkubwa kwangu

Heri ya mwaka mpya wanajamvi,

Mimi ni kijana ninamiaka 27, ninarafiki yangu wa kike ambae ambae anataka nimpe mimba. Ila ubaya mimi sina mtoto na wala sijaoa ila yeye aliolewa na anawatoto 4. Sasa anadai anahitaji mtoto toka kwangu kulea anasema atalea mwenyewe.

Naombeni ushauri maana hali hii nimekutana nayo kwa wanawake wengi sana. Huwa nawakatalia sasa naona inajirudia.

Nisaidieni wakuu.
Kwan unamahusiano nae kwa muda gani sasa
 
Heri ya mwaka mpya wanajamvi,

Mimi ni kijana ninamiaka 27, ninarafiki yangu wa kike ambae ambae anataka nimpe mimba. Ila ubaya mimi sina mtoto na wala sijaoa ila yeye aliolewa na anawatoto 4. Sasa anadai anahitaji mtoto toka kwangu kulea anasema atalea mwenyewe.

Naombeni ushauri maana hali hii nimekutana nayo kwa wanawake wengi sana. Huwa nawakatalia sasa naona inajirudia.

Nisaidieni wakuu.

Jiokoe na kizazi hiki chenye uharibifu. Nakushauri uoe mke wako uzae naye watoto ambao mtawalea nyote pamoja. Maandiko yanasema Ndoa Iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi maana washerati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu (Waeb 13:4).
 
Kama alishaolewa na mtu mwingine na akachikaakiwa NA watoto 4 aliahindwaje kumganda mwenye 4 kids aje akubane wewe mwenye 1 tu.
MPE mzigo aseme nao maana anautaka
 
Back
Top Bottom