Anataka mtoto na mimi

Anataka mtoto na mimi

Nina mpenzi tumependana vya kutosha yeye ni single mother na mimi nina ndoa na watoto. Alinishauri niishi naye nikazugazuga alivyoona hivyo akaniomba kuwa anataka mtoto na mimi. Nifanyage japo na mimi nimempenda Kiana tatizo ndoa yangu
Man,yaani ndoa ndio tatizo?ndoa kabisa ulifunga??..Jitafakari akili sio yako
 
Nina mpenzi tumependana vya kutosha yeye ni single mother na mimi nina ndoa na watoto. Alinishauri niishi naye nikazugazuga alivyoona hivyo akaniomba kuwa anataka mtoto na mimi. Nifanyage japo na mimi nimempenda Kiana tatizo ndoa yangu
Ukiombwa mbegu kama zipo toa, ni baraka
 
Back
Top Bottom