Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 6,115
- 6,827
Ni kwamba yule tayari ni mke wake na inaonekana jamaa anaishi maisha ya ndoa fresh.Kama unampenda mkeo kwa dhati please achana na huyo mwanamke.Ninakushauri hivyo kwasababu Sasa hivi yeye kashika makali na ww umeshika mpini.Akijifungua tu itageuka maana kwake utakuwa umejiwekea alama ya kudumu.Atajirasmisha yeye hata Kama ww hujafanya awe rasmi.Jiandae kupafahamu ustawi wa jamii na baadaye mahakama ya Kisutu akidai matunzo ili tu akuvuruge na familia yako.Leo hii atakwambia ntalea mwenyewe,akishazaa anaanza ooh watoto wako unawapeleka mlimani City kucheza wangu apelekwe na Nani? Yaani Visa vingi ikiwemo kupigiwa simu usiku eti mtoto analia sijui anachemka.Shemeji please Kama umevaa viatu via,kunja suruali kimbiaaa kwa speed ya kipunani...sijui wa Kenya.Achana na akili ya mwanamke...
Ulikuwa umepanga kuolewa lini kulwa.Sijui nigairi kuolewa asee
Haya.Ifikie hatua wanaume wenye akili tu ndio waoe jamani.
Sijui nigairi kuolewa asee



Tena aliapa kabisa mbele ya Mungu kuwa kitakachowatenganisha ni kifo tuNa mkeo unampenda pia? Aisee mambo ni mengi



Mafurushi unatushaurije?Ifikie hatua wanaume wenye akili tu ndio waoe jamani.
Ndoa inapokuwa tatizo. Wanadamu tujaribu kuwa na kiasi.Nina mpenzi tumependana vya kutosha yeye ni single mother na mimi nina ndoa na watoto. Alinishauri niishi naye nikazugazuga alivyoona hivyo akaniomba kuwa anataka mtoto na mimi. Nifanyage japo na mimi nimempenda Kiana tatizo ndoa yangu
Mjumbe unafikilisha sana kwa comment yako hii. Alafu ije itokee mtoto ana matatizo hadi ukoo utajua.Kama unampenda mkeo kwa dhati please achana na huyo mwanamke.Ninakushauri hivyo kwasababu Sasa hivi yeye kashika makali na ww umeshika mpini.Akijifungua tu itageuka maana kwake utakuwa umejiwekea alama ya kudumu.Atajirasmisha yeye hata Kama ww hujafanya awe rasmi.Jiandae kupafahamu ustawi wa jamii na baadaye mahakama ya Kisutu akidai matunzo ili tu akuvuruge na familia yako.Leo hii atakwambia ntalea mwenyewe,akishazaa anaanza ooh watoto wako unawapeleka mlimani City kucheza wangu apelekwe na Nani? Yaani Visa vingi ikiwemo kupigiwa simu usiku eti mtoto analia sijui anachemka.Shemeji please Kama umevaa viatu via,kunja suruali kimbiaaa kwa speed ya kipunani...sijui wa Kenya.Achana na akili ya mwanamke...
Nyie endeleeni tu kuwa wapole.Mafurushi unatushaurije?