Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 10,394
- 8,684
Asitoe hiyo Mimba ajikubali kila kitu kinawezekana chini ya jua.
Mbona kibao wanatoa?kwahiyo wengi ni masingo maza mjini hukuKipepeo cha chuma, huyo tyr ni single parent.Hata akiitoa atabaki single parent.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mnafiki haijawahi kutokea 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pandishaa hapooo...Wekaa zotee sihawahi support kutoa mimbaa never...!! usingle mazaa ndo nini kwanzA??
Sent using Jamii Forums mobile app
Leta comment nikupee pesaa...!! Mnatoa mimbaa tuu... mngetolewaa jeeeWewe ni mnafiki haijawahi kutokea [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijawahi kutoa mimba na siwezi ninavyo penda watoto hata niitwe vipi sitatoa mimba.Leta comment nikupee pesaa...!! Mnatoa mimbaa tuu... mngetolewaa jeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kwenye mada ya single mather huwa una comment kuponda.Leta comment nikupee pesaa...!! Mnatoa mimbaa tuu... mngetolewaa jeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonesha umekuja kutujaribu humu...unaomba ushauri wakati tayari una misimamo yako na hutaki kubadilika ...huyo ashakua single mama na haitakaa ibadilike au mnapanga kuua na huyo mkubwa kuepuka unyanyapaa?!...unashangazaIli baadae uje umnange humu mitandaoni kuwa ni singo maza,ni Bomu na hafai kwenye jamii?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hakuna sheria ya kuwafyekelea jela wahusika wa kutoa mimbaJust wasting your time, huyu dakika hii tunayoongea aloshatoa, so kaja hapa kufanya justification ya hilo tendo na kupata sympathy.
Kaja na majibu yake tayari na hataki kusikia ushauri tofauti na msimamo wake wa kipuuzi...
Kwani unalielewaje neno 'single parent'?
Bravo!!Sijawahi kutoa mimba na siwezi ninavyo penda watoto hata niitwe vipi sitatoa mimba.
🤣🤣🤣🤣Nilikwambia jinsia ina badilika kulingana na mada husikaBravo!!
Leo nimeona upande uliopo bila kuuliza 😀😀
Inashangaza anaishi kwa kuangalia Walimwengu watasema nini ujinga wa kiwango cha lami.Kaja na majibu yake tayari na hataki kusikia ushauri tofauti na msimamo wake wa kipuuzi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini my wii mbona mkorofi kwa nini unampa pole mtoa mada sasaPole dada
Kumbe na wewe ni kapuuzi fulani......sasa kama umeshamlisha maujinga yako tayari unataka tukushauri nini?Si waona alafu washauri azae?
Atoe tu hakuna mtu anapenda lea watoto peke yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hakuna sheria ya kuwafyekelea jela wahusika wa kutoa mimba