Mie namuharibia maisha ama namsave?
Binafsi siwez kubal kunyanyapaliwa kwa starehe tulioshiriki wawil,halafu mmoja ndio aonekane mkosefu.
Jamii yetu ya kitanzania unaijua kwa kuhukumu na matusi especially toka kwa wanaume.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anatakiwa achukue charge ya kuilea hiyo mimba.Hujanielewa,mie nimemshauri kutokana na jamii yetu inavyowadhalilisha singo maza.
Yeye anaogopa kuzaa tena kwani anasema alipitia kipindi kigumu sana na mwanaume wa mwanzo,na ilimchukua muda kukaa sawa na kumlea vizuri mwanae so anaogopa yasijirudie manake wanaume ni vigeugeu ,aweza jifanya anakupenda ila ukipata ujauzito anakukimbia na matusi juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe una akili sanaHivi mnatumia silimia ngapi katika kufikiri?
Hapo alipo tayari ni singo mother kwa mtoto mkubwa.. Kwahiyo akiitoa hiyo mimba ndo ataepuka matusi ya usingo maza? Wakati tayari ye ni singo mother
Halafu mtu unaua kisa kuogopa matusi hivi mko sawa nyie?
Kama vipi mwambie basi amchinje na huyo mkubwa aepuke matusi
Wapuuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
MmmhKama yeye binafsi anaona haridhii kuzaa huyo mtoto ni bora afanya termination mapema b4 it's too late. Watu wanasema eti "we ungetolewa ungekuwa hapa?!!" Well duniani kuna nini cha maana saana, we'll all die anyways.
Hahahah eli bana umegeuka mtabiri,anyway atazingatia ushauri wako Mkuu.Hahaha, best kuna swali hapo? Naamini kabisa mhusika ni yeye, ametumia fasihi tu kufikisha ujumbe.
Au wewe unadhani vipi best?
Ooooh!!Wadau am sorry kuileta hii mada sensitive humu ila ilikuwa katika kupata ushauri.
Nimemwonyesha mhusika uzi huu na comments za wadau wote,amekubali maoni ya wengi manake wanasema sauti ya wengi ni sauti ya Mungu,so amebadili uamuzi.Na anawaomba mumuwie sana radhi.Hata itoa mimba ila hatomwambia mhusika manake anaogopa kutelekezwa again.
Asanteni kwa kila aliyetoa ushauri wa kujenga,tumwombee Mungu amlinde na ampatie mwanae wa pili salama salimini.Usiku mwema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda ana-date na irresponsible man!! Ila kumwambia ni muhimu pia, awe responsible au asiwe ni muhimu kujua.Ooooh!!
Kutomwambia muhusika ni kosa pia maana huyo mtoto hakujitunga mwenyewe, ana haki ya kulelewa na wazazi wote wawili. Kwanini aamue kuwa ataumizwa kihisia kabla ya kumwambia mhusika kwanza?
Awe mtu mzima basi na yeye!
Kwakuwa alishaamua kuchagua irresponsible man awe baba wa mwanae basi amwambie tu then kama nae atakimbia basi atajua cha kufanya ila tayari ashamwambia.Labda ana-date na irresponsible man!! Ila kumwambia ni muhimu pia, awe responsible au asiwe ni muhimu kujua.