Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,384
- 11,281
Kumbe ni wewe The iron batterfly ndiye unayemsaidia?Asante
Hebu nitajie wataalamu hao walipo nimshauri ,atoe fasta kabla haijakuwa kubwa Sent using Jamii Forums mobile app
za Moshi Majengo au bado upo Dar
hujanitajia ana umri gani na miaka mingapi
afike KCMC na kilo moja au pale Majengo karibu na kituo cha Polisi kuna ka Dispensary awa na sitini el tu
kwa Dar ni popote hata wanafunzi wa Primary wanafyatua na kurudi class sembuse wanavyuo wanazikataa