Nina miaka 27, bado nina ndoto ya kuwa Daktari (Médical Doctor)

Mesehomie

Member
Oct 25, 2023
30
177
Mimi ni kijana wa kiume miaka 27 'nilimaliza Form 4 2013 nikapata division 3 lakini nikakosa nafasi form 5
Since day one ndoto yangu ilikuwa ni kuwa DAKTARI +Business man 2014 nikachomoka Moshi Kuja Dar ku strugle

Nimepambana from 2014 up to this moment MUngu akanibariki kiuchumi kwa kiasi fulan 🙏🙏🙏

Sasa nahisi ni Muda mwafaka wa kutimiza ndoto yangu ya pili japo umri umenitupa mkono

Nimeona Bora nifanye mtihani wa form 5 kama private candidate (PC) kwa combination ya PCB mwakani.

1-Je, wapi naweza Pata center tulivu au mwalimu mzuri wa Physics, Chemistry na Biology ya F5&6?

2-Nitumie trick gani nimudu kusoma sababu ni miaka 10 imepita toka nimeachilia mbali masuala ya shule?
 
Mimi ni kijana wa kiume miaka 27 'nilimaliza Form 4 2013 nikapata division 3 lakini nikakosa nafasi form 5
Since day one ndoto yangu ilikuwa ni kuwa DAKTARI +Business man 2014 nikachomoka Moshi Kuja Dar ku strugle


Nimepambana from 2014 up to this moment MUngu akanibariki kiuchumi kwa kiasi fulan 🙏🙏🙏

Sasa nahisi ni Muda mwafaka wa kutimiza ndoto yangu ya pili japo umri umenitupa mkono

Nimeona Bora nifanye mtihani wa form 5 kama private candidate (PC) kwa combination ya PCB mwakani.

1-Je, wapi naweza Pata center tulivu au mwalimu mzuri wa Physics, Chemistry na Biology ya F5&6?
2-Nitumie trick gani nimudu kusoma sababu ni miaka 10 imepita toka nimeachilia mbali masuala ya shule?

Kwa miaka 27 upo katika umri sahihi Sana , After six years utakuwa na 33 na kwa Huwezo wake Mungu utakuwa unaitwa doctor MD.

Fanya hivi sajiri mtihani kwa mwaka mmoja means ufanye mtihani mwakani mwezi wa tano then Kama upo dsm tembelea michikichini huko Utakutana na waalimu na wabobezi wa hizo Kazi za private Candidate .



Ukisoma kwa kumaanisha hata miezi mitano unatoboa vizuri tu so hapo nunua review zakutosha then vitabu na solve Sana Maswali Naamini hautokosa B tatu katika paper la six

Usisikilize maneno yenye negativity kuwa hautaweza au huwezi stay away with negativity
 
Mimi ni kijana wa kiume miaka 27 'nilimaliza Form 4 2013 nikapata division 3 lakini nikakosa nafasi form 5
Since day one ndoto yangu ilikuwa ni kuwa DAKTARI +Business man 2014 nikachomoka Moshi Kuja Dar ku strugle

Nimepambana from 2014 up to this moment MUngu akanibariki kiuchumi kwa kiasi fulan 🙏🙏🙏

Sasa nahisi ni Muda mwafaka wa kutimiza ndoto yangu ya pili japo umri umenitupa mkono

Nimeona Bora nifanye mtihani wa form 5 kama private candidate (PC) kwa combination ya PCB mwakani.

1-Je, wapi naweza Pata center tulivu au mwalimu mzuri wa Physics, Chemistry na Biology ya F5&6?

2-Nitumie trick gani nimudu kusoma sababu ni miaka 10 imepita toka nimeachilia mbali masuala ya shule?
Unahitaji miaka isiyopungua saba, assume kila kitu kimeenda sawa. Muda ni mali na akili ni nywele kila mtu ana zake
 
Mimi ni kijana wa kiume miaka 27 'nilimaliza Form 4 2013 nikapata division 3 lakini nikakosa nafasi form 5
Since day one ndoto yangu ilikuwa ni kuwa DAKTARI +Business man 2014 nikachomoka Moshi Kuja Dar ku strugle

Nimepambana from 2014 up to this moment MUngu akanibariki kiuchumi kwa kiasi fulan 🙏🙏🙏

Sasa nahisi ni Muda mwafaka wa kutimiza ndoto yangu ya pili japo umri umenitupa mkono

Nimeona Bora nifanye mtihani wa form 5 kama private candidate (PC) kwa combination ya PCB mwakani.

1-Je, wapi naweza Pata center tulivu au mwalimu mzuri wa Physics, Chemistry na Biology ya F5&6?

2-Nitumie trick gani nimudu kusoma sababu ni miaka 10 imepita toka nimeachilia mbali masuala ya shule?
Mimi nadhani ungesoma advance Ili uwe school candidate tu
 
Mimi ni kijana wa kiume miaka 27 'nilimaliza Form 4 2013 nikapata division 3 lakini nikakosa nafasi form 5
Since day one ndoto yangu ilikuwa ni kuwa DAKTARI +Business man 2014 nikachomoka Moshi Kuja Dar ku strugle

Nimepambana from 2014 up to this moment MUngu akanibariki kiuchumi kwa kiasi fulan 🙏🙏🙏

Sasa nahisi ni Muda mwafaka wa kutimiza ndoto yangu ya pili japo umri umenitupa mkono

Nimeona Bora nifanye mtihani wa form 5 kama private candidate (PC) kwa combination ya PCB mwakani.

1-Je, wapi naweza Pata center tulivu au mwalimu mzuri wa Physics, Chemistry na Biology ya F5&6?

2-Nitumie trick gani nimudu kusoma sababu ni miaka 10 imepita toka nimeachilia mbali masuala ya shule?
Ukiwa na laki 4 unaweza kupata sehemu kubwa na nzuriii ya kilimo Cha kumwagilia the rest will be history....
 
Back
Top Bottom