Mimi ni kijana wa kiume miaka 27 'nilimaliza Form 4 2013 nikapata division 3 lakini nikakosa nafasi form 5
Since day one ndoto yangu ilikuwa ni kuwa DAKTARI +Business man 2014 nikachomoka Moshi Kuja Dar ku strugle
Nimepambana from 2014 up to this moment MUngu akanibariki kiuchumi kwa kiasi fulan 🙏🙏🙏
Sasa nahisi ni Muda mwafaka wa kutimiza ndoto yangu ya pili japo umri umenitupa mkono
Nimeona Bora nifanye mtihani wa form 5 kama private candidate (PC) kwa combination ya PCB mwakani.
1-Je, wapi naweza Pata center tulivu au mwalimu mzuri wa Physics, Chemistry na Biology ya F5&6?
2-Nitumie trick gani nimudu kusoma sababu ni miaka 10 imepita toka nimeachilia mbali masuala ya shule?
Since day one ndoto yangu ilikuwa ni kuwa DAKTARI +Business man 2014 nikachomoka Moshi Kuja Dar ku strugle
Nimepambana from 2014 up to this moment MUngu akanibariki kiuchumi kwa kiasi fulan 🙏🙏🙏
Sasa nahisi ni Muda mwafaka wa kutimiza ndoto yangu ya pili japo umri umenitupa mkono
Nimeona Bora nifanye mtihani wa form 5 kama private candidate (PC) kwa combination ya PCB mwakani.
1-Je, wapi naweza Pata center tulivu au mwalimu mzuri wa Physics, Chemistry na Biology ya F5&6?
2-Nitumie trick gani nimudu kusoma sababu ni miaka 10 imepita toka nimeachilia mbali masuala ya shule?