ndenga
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 1,788
- 1,302
Jitume saa moja na nusu??? yaani mpira wa miguu unanza mpaka unaisha we unakita tu?
Kwa namna hii hata afya inaweza ikawa mgogoro...estimate times 3 per week..utakuwa umetumia masaa 4.5 na zaidi ukiwa hewani ..hii kali!!! inahitaji upate msosi mzuri na usiwe busy sana na kazi...pole sana!