Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,312
- 12,194
Braza yote hayo kuitwa 'dalali' tu!?..😀waswahili Bwana tena masikini utawajua tu ...yaani wao kila kitu wanakigeuza negative hahahaha...nawaonea huruma sana watu kama kina mama rei tenabutakuta hata mshahara wake haufiki laki 9 Lakini anabwata kwamba flani ni hivi au vile ukiangalie yeye maisha yake ni huzuni tupu na kudanga hahahhaha....shenzi tabia
Real estate agent me nashida na chumba Knyama!🙂.