Anatafutwa muhudumu wa kufuga kuku

Anatafutwa muhudumu wa kufuga kuku

Mkuu, nimesomea general agriculture Mati tumbi. Nipo vizuri sana kwenye kuku na nguruwe sababu nina uzoefu.
Kama tukakubaliana katika mshahara hutojuta kuniajiri.
 
Mkuu ni pm mimi sijasoma ila ninauzoefu wa miaka 7 kwenye ufugaji wa kuku wa mayai na wanyama pia najua kwanzia kupokea vifaranga chanjo zote magonjwa yote ya kuku pamoja na tiba zake' najua kutengeneza chakula formula nazijua zote ukitaka nikupeleke sehemu zote nilizofanya kaz nipo tayar kwani sijagombana na bos hata mmoja wamesitisha tu ufugaj nipigie tuongee vizuri 0762909045
 
Pale shamba kuna kijana jirani anatunza shamba la mtu la kuku;
ni Zaidi ya miaka kumi tokea aanze kufanya hii kazi;
yai la kuku wake ni kubwa tofauti kabisa na mayai mengine;

Ila naona boss wake anamlipa vizuri na ndiyo maana amedumu naye muda mrefu;
 
Mkuu, nimesomea general agriculture Mati tumbi. Nipo vizuri sana kwenye kuku na nguruwe sababu nina uzoefu.
Kama tukakubaliana katika mshahara hutojuta kuniajiri.
We umeshawahi fanya shughuli za ufugaji wapi na aina ya malipo yalikuwaje na shd ngapi kwa mwezi,msimu?
 
Mkuu ni pm mimi sijasoma ila ninauzoefu wa miaka 7 kwenye ufugaji wa kuku wa mayai na wanyama pia najua kwanzia kupokea vifaranga chanjo zote magonjwa yote ya kuku pamoja na tiba zake' najua kutengeneza chakula formula nazijua zote ukitaka nikupeleke sehemu zote nilizofanya kaz nipo tayar kwani sijagombana na bos hata mmoja wamesitisha tu ufugaj nipigie tuongee vizuri 0762909045
Elezea ulikifanya na mshahara ,sasa hivi uko wapi
 
Pale shamba kuna kijana jirani anatunza shamba la mtu la kuku;
ni Zaidi ya miaka kumi tokea aanze kufanya hii kazi;
yai la kuku wake ni kubwa tofauti kabisa na mayai mengine;

Ila naona boss wake anamlipa vizuri na ndiyo maana amedumu naye muda mrefu;
Kwayo abaki hukohuko anakilipwa vizuri aache tamaa,hapa kazi tu fresh frim school (,FFS)
 
Mkuu nipo kibaha mlandizi namba nimeweka unaweza kunipigia tukaongea vizuri
 
Tatizo huyu bwana nimegundua anataka kumuajiri MTU ambaye hana taaruma Na hiyo fani ili amkaange kwenye mshahara. Anashindwa kuelewa kwamba hiyo biashara ni kubwa sana,ukiangalia haraka haraka kwa KUKU hao 1000 ni mtaji mkubwa sana ambao akiajiri MTU professional Na kazi hiyo Na akamlipa vizuri,baada ya miezi minne au mitano atakuwa level nyingine kabisa. Ataajiri MTU Wa kawaida matokeo yake ugonjwa ukiingia kwenye banda hajui chochote matokeo yake Kuku wanakufa inakuwa hasara. Kumbuka biashara ya KUKU haitofautiani na biashara ya Samaki au biashara ya nyanya,ukijichanganya kidogo tu maumivu yake ni makubwa sana.
Umeongea ukweli Panzi Dume
Hii biashara wengi hawataki kuajiri watu wenye professional iyo, na kuku wengi kama hao bila kuwa na mtaalamu wa animals science unapata hasara ndani ya wiki ya kwanza ya biashara
 
Back
Top Bottom