Mkuu utapeli haupo bagamoyo pekee, na siyo kwamba bagamoyo hamna mashamba halali ndiyo maana katika suala la kutaka kujiridhisha nipo tiyari kwenda popote Ili uhalali uonekane wazi, iwe polisi ama mahakamani mimi sioni shida kwa kuwa hii ni Mali yangu halali na sijawahi kuuzia mtu yoyote kabla.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ushampata kuna kijana anahitaji kazi ni mchapakazi kama hujampata nitext inboxAnatafutwa mhudumu mwenye uzoefu wa kufuga kuku wa kisasa, awe anaelimu, ujuzi na uzoefu wa kutosha kuhudumu kuku 1000 kwa mpigo,jitokeze kwa mahojiano sasa.
Ndo unamatusi hivi!!,hapo hata mtu hajaanza kazi akianza je si utamsuta mpakaTafuta anayelipa kileo uone vyuma vilivyokaza[emoji24]