Hakuna mtanzania ,basi hata mkenya,malawi n.kAnatafutwa mhudumu mwenye uzoefu wa kufuga kuku wa kisasa,awe anaelimu ,ujuzi na uzoefu wa kutosha kuhudumu kuku 1000 kwa mpigo,jitokeze kwa mahojiano sasa !!!!
Mkoa gani ?malipo kiasi gani?Anatafutwa mhudumu mwenye uzoefu wa kufuga kuku wa kisasa, awe anaelimu, ujuzi na uzoefu wa kutosha kuhudumu kuku 1000 kwa mpigo,jitokeze kwa mahojiano sasa.
Hahaha daah ni wa kisasa.hawa mkuu hata ukiiba au vibudu wanaokufa huwezi wala ni kuwatupa tu.Kubali ibiwa, maana utapokea habari za kifo kila siku na mzoga hutauona
Dar off cause unaweza kazi hiyo?Mkoa gani?
Ukitaka kula lazima uliwe haina shidaKubali ibiwa, maana utapokea habari za kifo kila siku na mzoga hutauona
Yupo jamaa yangu ana Diploma ya Animal Science toka Chuo cha Cha mifugo. Kama utamlipa vizuri nimshtueAnatafutwa mhudumu mwenye uzoefu wa kufuga kuku wa kisasa, awe anaelimu, ujuzi na uzoefu wa kutosha kuhudumu kuku 1000 kwa mpigo,jitokeze kwa mahojiano sasa.
Amesoma tengeruYupo jamaa yangu ana Diploma ya Animal Science toka Chuo cha Cha mifugo. Kama utamlipa vizuri nimshtue
Kwani sasa anakamata ngapi ndio kipimo chske aombe kazi tuYupo jamaa yangu ana Diploma ya Animal Science toka Chuo cha Cha mifugo. Kama utamlipa vizuri nimshtue
Nipe adress zako au namba zako na utaratibu wa kutuma maombi ili nimuelekeze namna ya kutuma.Kwani sasa anakamata ngapi ndio kipimo chske aombe kazi tu
KimyàaaaNipe adress zako au namba zako na utaratibu wa kutuma maombi ili nimuelekeze namna ya kutuma.
Nataka unieleze namna ya kuomba ili aombe yeye mwenyewe. Yeye hayupo humu mtandaoni.mbona unakuwa mgumu, au magumashi?Hairuhusiwi kumuombea
Tatizo huyu bwana nimegundua anataka kumuajiri MTU ambaye hana taaruma Na hiyo fani ili amkaange kwenye mshahara. Anashindwa kuelewa kwamba hiyo biashara ni kubwa sana,ukiangalia haraka haraka kwa KUKU hao 1000 ni mtaji mkubwa sana ambao akiajiri MTU professional Na kazi hiyo Na akamlipa vizuri,baada ya miezi minne au mitano atakuwa level nyingine kabisa. Ataajiri MTU Wa kawaida matokeo yake ugonjwa ukiingia kwenye banda hajui chochote matokeo yake Kuku wanakufa inakuwa hasara. Kumbuka biashara ya KUKU haitofautiani na biashara ya Samaki au biashara ya nyanya,ukijichanganya kidogo tu maumivu yake ni makubwa sana.Wafugaji wa kisasa wengi wao wanalipa kizamani.
Hapana atapata mshahara kulingana na matokeo makubwa sasa (BRN) 0-1=1Tatizo huyu bwana nimegundua anataka kumuajiri MTU ambaye hana taaruma Na hiyo fani ili amkaange kwenye mshahara. Anashindwa kuelewa kwamba hiyo biashara ni kubwa sana,ukiangalia haraka haraka kwa KUKU hao 1000 ni mtaji mkubwa sana ambao akiajiri MTU professional Na kazi hiyo Na akamlipa vizuri,baada ya miezi minne au mitano atakuwa level nyingine kabisa. Ataajiri MTU Wa kawaida matokeo yake ugonjwa ukiingia kwenye banda hajui chochote matokeo yake Kuku wanakufa inakuwa hasara. Kumbuka biashara ya KUKU haitofautiani na biashara ya Samaki au biashara ya nyanya,ukijichanganya kidogo tu maumivu yake ni makubwa sana.