leo dada
JF-Expert Member
- Oct 26, 2023
- 1,314
- 6,025
Whatsapp nimeshafika jamaa kanikana zaidi ya mara tatu!!!kakana na tangazo lakeHizo habari za tumbo, ziwa na tak* jamaa hata hajazizungumzia! 😁
Wewe nenda WhatsApp, muonyeshe mkali huko huko, wenda atabadili vigezo. 😊