Anatafutwa mpenzi, Mwanza

Anatafutwa mpenzi, Mwanza

Siku hizi kupata mpenzi imekuwa rahisi sana, sio miaka yetu ya 47, unatuma hadi washenga lakini binti anachomoa 🙌

Ndiyo maana hata ndoa zilikuwa zinadumu, mtu unawaza nikimpoteza huyu niliyenaye nitalazimika kusubiri hata miaka 3 usimpate...nani ataweza kuishi kwa nyeto miezi 36 🤪

Kila la heri Mkuu, Mungu akutimizie hitaji lako 🙏🙏🙏
 
Sifa zake

● Umri kuanzia miaka 20 hadi 37
● Awe muajiriwa au amejiajiri
●Dini yeyote.
● Kabila lolote
● kama ana mtoto awe mmoja tu

Sifa za mtafutaji
●mfupi mweusi
●Mpole kiasi
● amejiajiri
●umri miaka 30
mawasiliano whatsapp 0718569091
Akipatikana maeneo haya ni sawa Geita, Mwanza na Shinyanga
Mkuu 30 Kwa 37 ebo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom