Anatafutwa mke ila awe mzungu

Anatafutwa mke ila awe mzungu

Asante sana dada angu,mimi siwachukii wanawake wa kiafrica hata kidogo,dada zangu mamaangu na ndugu zangu karibia wote ni weusi,kinachonikera ni hizi tabia za wengi wao..hawako real wanakopy sana life style za watu..nawaona ndugu zangu wanavyoangaika na kuangaisha.. ngoja nijitose tu dadangu,ntakupm tuongee..

Aya.. Karibu sana lkn wazungu nao wana yao kaka angu..kuna namna flani ya kuishi nao !!
 
Heri ya xmas wana jukwaa..kidogo mi sio mwenyeji sana hapa,naomba mnikaribishe,
Nimekua nikidate na wanawake wa kiswahili kwa mda mrefu,na ni wanawake tofauti tofauti,lengo langu hasa alikua kuwabadilisha bali,nlihitajji mmoja awe mke wangu,ni mwaka wa nne natafuta ila sio siri nmekosa,wanawake wengi wanauswahili sana,mkishazoeana ndani kunakua hakukaliki,ni wagomvi wagomvi,wambea,vigeu geu,hawana future,story zoa sio za kujenga story zao ni diamond kajala martin kadinda na wema na mostly ni ile hali ya ugold digger uwa haiwaishi,kutokana na tabia hizo ambazo wengi wao wanazo,na nikijumlisha na mifano ya ndoa za ndugu wangu wa karibu,wote walio oa na kuolewa nnavo ziona,najikuta nakata tamaa ya wanawake wa kiswahili,sikua kufilia kuoa mzungu,na hiki ni kati ya vitu mamangu amenikanya nisijekufanya,bro wangu kaoa mzungu so bi mkubwa anaona haenjoy sana kua na mkwewe,so ataki na kwangu atokee,potelea pote nmefanya maamuzi nahitaji kuoa mzungu wana mmu kama kunamtu anauzoefi kidogo na hizi ngozi nyeupe naomba ushauri wako na kama kuna angalizo naombeni mnambie nitazingatia,pia kwa hapa bongo niwapi naweza kuwapata kwa urahisi,swala la kutongoza alinipi shida hata kidogo..karibuni.ama kma kuna mwanake hana tabia kma hizo nicheki tuwowane..!!

Ongea na lara 1 akupe address ya Mange, anaweza kukuunganisha kwenye site za kulipia (online dating sites) ukapata unayemwitaji.

Kuna uzi lara 1 aliuweka hapa juzi unakufaa.
 
Last edited by a moderator:
Ongea na lara 1 akupe address ya Mange, anaweza kukuunganisha kwenye site za kulipia (online dating sites) ukapata unayemwitaji.

Kuna uzi lara 1 aliuweka hapa juzi unakufaa.

Wa online ni majangaa,nataka law materials..
 
Last edited by a moderator:
Online dating sites zinafanya kazi kiukwel...I got my soulmate dea....n we are happy!!
 
Ukifanikiwa nishthtue na mimi, Ila jaribu na kule jukwaa la wazungu
 
Asante sana dada angu,mimi siwachukii wanawake wa kiafrica hata kidogo,dada zangu mamaangu na ndugu zangu karibia wote ni weusi,kinachonikera ni hizi tabia za wengi wao..hawako real wanakopy sana life style za watu..nawaona ndugu zangu wanavyoangaika na kuangaisha.. ngoja nijitose tu dadangu,ntakupm tuongee..

Wacha longo longo sema unataka mzungu wa nchi gani, maamerika,mayuropu,ma albania ama wazungu koko wa hapa hapa bongo?
 
sikua kufilia kuoa mzungu,na hiki ni kati ya vitu mamangu amenikanya nisijekufanya,bro wangu kaoa mzungu

Naona umeacha njia rahisi (kumtumia bro wako au shemejio ambae ni mzungu) kumpata huyo mzungu umtakae badala yake umekuja kwenye impossible possibilities.
 
Bro wako si kaoa mzungu, kwanini humuulizi akupe uzoefu wake, unakuja kutukera hapa? Wewe mwenyewe nishagundua ni tatizo...


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Waswahili hawaoleki hasa hawa wa sikuhizi...najitosa kwa ngoz nyeupe basi..we nipe dirrections tu wanapatokana wapi kwa wig hpa bongo..
Nenda Badoo na dating sites nyingi sana interracial dating sites wamejaa tele.
 
Heri ya xmas wana jukwaa..kidogo mi sio mwenyeji sana hapa,naomba mnikaribishe,
Nimekua nikidate na wanawake wa kiswahili kwa mda mrefu,na ni wanawake tofauti tofauti,lengo langu hasa alikua kuwabadilisha bali,nlihitajji mmoja awe mke wangu,ni mwaka wa nne natafuta ila sio siri nmekosa,wanawake wengi wanauswahili sana,mkishazoeana ndani kunakua hakukaliki,ni wagomvi wagomvi,wambea,vigeu geu,hawana future,story zoa sio za kujenga story zao ni diamond kajala martin kadinda na wema na mostly ni ile hali ya ugold digger uwa haiwaishi,kutokana na tabia hizo ambazo wengi wao wanazo,na nikijumlisha na mifano ya ndoa za ndugu wangu wa karibu,wote walio oa na kuolewa nnavo ziona,najikuta nakata tamaa ya wanawake wa kiswahili,sikua kufilia kuoa mzungu,na hiki ni kati ya vitu mamangu amenikanya nisijekufanya,bro wangu kaoa mzungu so bi mkubwa anaona haenjoy sana kua na mkwewe,so ataki na kwangu atokee,potelea pote nmefanya maamuzi nahitaji kuoa mzungu wana mmu kama kunamtu anauzoefi kidogo na hizi ngozi nyeupe naomba ushauri wako na kama kuna angalizo naombeni mnambie nitazingatia,pia kwa hapa bongo niwapi naweza kuwapata kwa urahisi,swala la kutongoza alinipi shida hata kidogo..karibuni.ama kma kuna mwanake hana tabia kma hizo nicheki tuwowane..!!

Kama ni suala la uzoefu si umu ulize huyo ndugu yako mwenye mke wa kizungu?
 
Kila lakheri kaka. Kuhusu uzoefu na wa wapi pa kuwapata wazungu, ebu anzia kwanza kumuuliza huyo bro wako na shemejio, naamini watakupa walau ABCs za kuanzia.
 
Bro wako si kaoa mzungu, kwanini humuulizi akupe uzoefu wake, unakuja kutukera hapa? Wewe mwenyewe nishagundua ni tatizo...


Sent from my iPhone using JamiiForums

hahahaa, anataka pia mwanamke wa kibongo asie na tabia hizo ili wawowane. Kazi ipo apo :becky:
 
Back
Top Bottom