Anatafutwa mke ila awe mzungu

Anatafutwa mke ila awe mzungu

Jaslaws

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2011
Posts
6,016
Reaction score
5,300
Heri ya xmas wana jukwaa.

Kidogo mi sio mwenyeji sana hapa,naomba mnikaribishe.

Nimekua nikidate na wanawake wa kiswahili kwa mda mrefu na ni wanawake tofauti tofauti, lengo langu hasa alikua kuwabadilisha bali,nlihitajji mmoja awe mke wangu,ni mwaka wa nne natafuta ila sio siri nmekosa, wanawake wengi wanauswahili sana,mkishazoeana ndani kunakua hakukaliki ni wagomvi wagomvi,wambea,vigeu geu,hawana future,story zoa sio za kujenga story zao ni diamond kajala martin kadinda na wema na mostly ni ile hali ya ugold digger uwa haiwaishi.

Kutokana na tabia hizo ambazo wengi wao wanazo,na nikijumlisha na mifano ya ndoa za ndugu wangu wa karibu,wote walio oa na kuolewa nnavo ziona,najikuta nakata tamaa ya wanawake wa kiswahili, sikua kufikiria kuoa mzungu na hiki ni kati ya vitu mamangu amenikanya nisijekufanya, bro wangu kaoa mzungu so bibi mkubwa anaona haenjoy sana kuwa na mkwewe so hataki na kwangu atokee, potelea pote nimefanya maamuzi nahitaji kuoa mzungu wana mmu kama kunamtu anauzoefi kidogo na hizi ngozi nyeupe naomba ushauri wako na kama kuna angalizo naombeni mnambie nitazingatia, pia kwa hapa bongo niwapi naweza kuwapata kwa urahisi,swala la kutongoza alinipi shida hata kidogo.

Karibuni ama kama kuna mwanake hana tabia kama hizo nicheki tuowane.
 
Wachina wapo.. angalizo papuchi zao za baridi..
Ni wanawake kama wwngine wanaendeshwa na emotion na si reality .. think again
 
Wachina wapo.. angalizo papuchi zao za baridi..
Ni wanawake kama wwngine wanaendeshwa na emotion na si reality .. think again[
Ni bora papuchi ya baridi kuliko ya hzi za moto ila zimejaa matatizo.
 
bora yako umefanya maamuzi magumu, hawa wanawake wa kibongo siku hizi wataangalia pochi yako kwanza..... fata hao whites upige, wako real!!!
nb: ukipata nsetie mdogo wake nnakitu cha kumwambia!!!
 
Dunia hii mwanamke ni mwafrika na mzungu tu....maana wote mshawatia hila. My take hakuna perfect woman or perfect marriage. Utamaliza ulimwengu...jitosee tu kama umeamua.
 
bora yako umefanya maamuzi magumu, hawa wanawake wa kibongo siku hizi wataangalia pochi yako kwanza..... fata hao whites upige, wako real!!!
nb: ukipata nsetie mdogo wake nnakitu cha kumwambia!!!

Mkuu we si umeshaoa..??
 
Dunia hii mwanamke ni mwafrika na mzungu tu....maana wote mshawatia hila. My take hakuna perfect woman or perfect marriage. Utamaliza ulimwengu...jitosee tu kama umeamua.
Waswahili hawaoleki hasa hawa wa sikuhizi...najitosa kwa ngoz nyeupe basi..we nipe dirrections tu wanapatokana wapi kwa wig hpa bongo..
 
Wasalimie,waabie uku wanawake wa kiswahili wametuchosha.

Ngoja nikwambie kitu kaka angu rafiki yangu...usikate tamaa wanawake wapo wengi sana na bado hujakutana nao ..wawili watatu wasikufanye ukachukia nchi nzima...
Mimi nadate na mzungu...tulikutana kwenye dating sites zipo kibao...inaitwa interracial dating site@ ..na tukapendana tho siwachukii wanaume wa tz weusi wenzangu na sasa tunatarajia mtoto wetu wa kwanza!! Mungu akutangulie na we kama unataka ivo kwa kupenda
 
Ngoja nikwambie kitu kaka angu rafiki yangu...usikate tamaa wanawake wapo wengi sana na bado hujakutana nao ..wawili watatu wasikufanye ukachukia nchi nzima...
Mimi nadate na mzungu...tulikutana kwenye dating sites zipo kibao...inaitwa interracial dating site@ ..na tukapendana tho siwachukii wanaume wa tz weusi wenzangu na sasa tunatarajia mtoto wetu wa kwanza!! Mungu akutangulie na we kama unataka ivo kwa kupenda
Asante sana dada angu,mimi siwachukii wanawake wa kiafrica hata kidogo,dada zangu mamaangu na ndugu zangu karibia wote ni weusi,kinachonikera ni hizi tabia za wengi wao..hawako real wanakopy sana life style za watu..nawaona ndugu zangu wanavyoangaika na kuangaisha.. ngoja nijitose tu dadangu,ntakupm tuongee..
 
Back
Top Bottom