Anasa ya sherehe: Miaka 50 ya uhuru

laun

Senior Member
Sep 5, 2011
111
26
Kwa hali ya uchumi ilivyo, kulikuwa na haja ya ku-allocate fund kusherehekea miaka 50 ya taabu,mgao wa umeme usioisha,ufisadi,njaa,ujinga,maradhi ,ukosefu wa ajira n.k ?
Kwa nini viongozi wetu wasingewahurumia wapiga kura hata wawanunulie vifaa vya tiba tu kuliko kutumbua hela kuwalipa mapacha 3 na makhirikhiri.
Ni dhihaka kubwa kupokea msaada wa mashine ya upasuaji yenye thamani ya mil 47 kutoka barrick kwa hospitali ya mkoa wa mara wakati serikali ikitumbua mamilioni pasipo sababu za msingi.
 
Kwa hali ya uchumi ilivyo, kulikuwa na haja ya ku-allocate fund kusherehekea miaka 50 ya taabu,mgao wa umeme usioisha,ufisadi,njaa,ujinga,maradhi ,ukosefu wa ajira n.k ?
Kwa nini viongozi wetu wasingewahurumia wapiga kura hata wawanunulie vifaa vya tiba tu kuliko kutumbua hela kuwalipa mapacha 3 na makhirikhiri.
Ni dhihaka kubwa kupokea msaada wa mashine ya upasuaji yenye thamani ya mil 47 kutoka barrick kwa hospitali ya mkoa wa mara wakati serikali ikitumbua mamilioni pasipo sababu za msingi.

Ajabu ni kwamba tunasheherekea kile ambacho tumeshindwa kutimiza yaani kuwawezesha watanzania kufurahia "matunda ya uhuru"
 
kwa bongo jambo la kawaida kusherekea vi2 visivyo na msingi. acha kununua hizo dawa japo kuwajengea mazingira mazuri wataalam we2 ili waweze kufanya kazi kwa ufanisi.
 
hivi hata kulikuwa na bajeti ya hizi sherehe kila wizara?
 
tatizo mkiambiwa nchi ina matatizo mnafikiria tu matokeo ya matatizo (kama mgao wa umeme, ajari, shilling kushuka, uchakachuaji uchaguzi nk) lakini mnashindwa kufikiria juu ya tatizo mama ambalo ni UTAWALA na WATAWALA
 
Kuna bango kubwa sana la wizara ya afya pale mitaa ya shopperz plaza........linaonyesa dispensary mbili na linasema tumejaribu na tumeweza........
Kumanina walahi, linanitia hasira lile bango we acha tu!! vituo vya afya hakuna dawa, havina wahudumu wa afya, wahudumu hawana nyumba...mama mjamzito anaambiwa aende hospitali na gloves na pamba zake mwenyewe, halafu wizara inatumia zaidi ya 60m kuweka bango la kishenzishenzi tu!!

afadhali hata wangeweka ujumbe wa AFYA...hata kuwahamasisha wakina mama wajawazito waende clinic kwa wakati basi, ....CCM na serikali yake washenzi wote.
 
hivi hata kulikuwa na bajeti ya hizi sherehe kila wizara?
Mkuu, budget za sherehe kila wizara ukiziona unzweza ukalia machozi.
ujue makitibu wakuu wanapewa directives kutoka kwa Luhanjo, luhanjo anatekeleza resolution za Kikao cha mawaziri na seculars nyingine, lakini Kikao cha mawaziri kinapewa directives na CC ya CCM.

Ukweli ni kwamba, hapa ndipo CCM wanapochukua hela ya kampeni mwaka 2015....wanaona hali itakuwa mbaya huko mbeleni, so hela ya bure kabisa ni hii ya UHURU.

Inauma sana.
 
Ukweli ni kwamba, hapa ndipo CCM wanapochukua hela ya kampeni mwaka 2015....wanaona hali itakuwa mbaya huko mbeleni, so hela ya bure kabisa ni hii ya UHURU.

Inauma sana.
Bado kutakuwa na uchaguzi wa CCM mwakani....pesa zitazidi kuteketea.....nadhani.....haya matumizi makubwa pesa kwa miaka mitatu mfululizo (2010-uchaguzi; 2011-sherehe za miaka 50; 2012-uchaguzi CCM) yatatumaliza wana wanchi.
 
Huwa nasikitika sana kuona bajeti ya kituo cha afya kwa miezi mitatu kinatengewa Tsh milioni 3 kwa ajili ya vifaa tiba na madawa kwakweli ni aibu tupu ndiomaa ndani ya wiki moja tu tangu dawa ziletwe na msd unakuta dawa zimeisha mambo ya ajabu kabisa haya.
 
Miaka 50 lakini maneno India kutibu hata rushes za kwenye ngozi .Wasomi wa Tanzania they are very fast and creative when it comes to money spending lakini kuwapa watanzania nafuu ya maisha utaelezwa maelezo yote , mvua hakuna so umeme hakuna , majanja ya Meli ila hatuna uwezo .Sijui wao uwezo maana yake ni nini .Ujinga mtupu .Watanzania amkeni muwaulize maswali hawa.Kwani kama walitaka sherehe kwa nini isingalifanywa mara moja badala kuharibu pesa namna hii ?
 
tatizo mkiambiwa nchi ina matatizo mnafikiria tu matokeo ya matatizo (kama mgao wa umeme, ajari, shilling kushuka, uchakachuaji uchaguzi nk) lakini mnashindwa kufikiria juu ya tatizo mama ambalo ni UTAWALA na WATAWALA
Umenene ,tumekusikia
 
Its the poorest nations that brag the most,may to compensate for lack of 'solid' achievement.
 
Dollar yafikia buku mbili....huku budget ya chai za wizara kufikia billions of shillings......................akili au matope haya??
 
Kwakuwa mipango ya hovyo (ya kukosa vipaumbele) ndo imetuletea umaskini mi naona ni vizuri sana kusherehekea miaka hamsini kwa staili hiyo ili tuonekene walau tuko consistent
 
Hawa viongozi wa chama cha magamba M.Mungu atawaonesha siku moja hii nchi wanaifanya km ya kwao.
 
Kuna bango kubwa sana la wizara ya afya pale mitaa ya shopperz plaza........linaonyesa dispensary mbili na linasema tumejaribu na tumeweza........
Kumanina walahi, linanitia hasira lile bango we acha tu!! vituo vya afya hakuna dawa, havina wahudumu wa afya, wahudumu hawana nyumba...mama mjamzito anaambiwa aende hospitali na gloves na pamba zake mwenyewe, halafu wizara inatumia zaidi ya 60m kuweka bango la kishenzishenzi tu!!

afadhali hata wangeweka ujumbe wa AFYA...hata kuwahamasisha wakina mama wajawazito waende clinic kwa wakati basi, ....CCM na serikali yake washenzi wote.

hata mie nakuunga mikono na miguu waliopeana dhamana za kutuongoza wana2tania....laiti kama.....
 
Mi nashangaa sana wakati kuna shule huko yenye wanafunzi 150, ina darasa moja na mwalimu mmoja afu watu wanatumia mamilioni ya fedha kusherehekea huo.use..n..ge wao
 
Back
Top Bottom