Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,109
- 53,626
Labda ana sababu zake nyingine..Yaani dogo kanishangaza kweli aiseee, kuna watu hawana aibu, Ushindwe kusex?? Sisi wakati ule kabla ya kuoa tulikua tunafanya hio kitu hadi unashindwa kutembea!! sasa eti unakuja kuandika kuwa umeshindwa!! Kijana wa kiume?? Aiseeeee halafu baada ya siku mbili tatu tunalalamika kuwa wapenzi wetu wana michepuko