rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,165
- 43,854
Eehe kwa herii..!! Afanye mishe zinginee tu shule ishamshindaaa...Muce
Eehe kwa herii..!! Afanye mishe zinginee tu shule ishamshindaaa...Muce
Haya mkuuEehe kwa herii..!! Afanye mishe zinginee tu shule ishamshindaaa...
Mkopo wake hauwezi kamwe kwenda chuo tena Ila inabidi akachukue barua ya discontinue apelekee TCU wamtoe kwenye mfumo Ili aweze kuomba chuo upya.Ndio atadaiwa kiasi alichokopeshwa tena inabidi arudi chuo apewe barua yake ya kudisco aipeleke loan board asitishiwe mkopo wake tofauti na hapo chuo kinaweza kisipeleke taarifa zake pesa ikaendelea kuingia kwenye mifuko ya wakubwa
Shukrani mkuuMkopo wake hauwezi kamwe kwenda chuo tena Ila inabidi akachukue barua ya discontinue apelekee TCU wamtoe kwenye mfumo Ili aweze kuomba chuo upya.
Kutofikisha GPA ya mbili Ni automatically huwezi kupata allocation.
ivi allocation kila mwaka inakuja mpya kwa contineous to comeMkopo wake hauwezi kamwe kwenda chuo tena Ila inabidi akachukue barua ya discontinue apelekee TCU wamtoe kwenye mfumo Ili aweze kuomba chuo upya.
Kutofikisha GPA ya mbili Ni automatically huwezi kupata allocation.
Aende chuoni hapo MUCE achukue barua ya kudisco, Apeleke hio barua TCU ili wamtoe katika system ili aweze apply chuo kingine katika second round hii.Discontinue maana yake akafanye ama akasome kozi ingine tu
Sawa kiongoziHapo kafeli mtihani special hakuna Tena kwa hiyo GPA lkn asipaniki kushindwa mtihani sio kushindwa maisha Mungu atamuinua kivingine na km anapenda shule wapo watu hudisco lkn huomba chuo kingine na kuanza upya Tena kwa mwaka Cha msingi apeleke barua ya kudisco TCU ili aondolewe kwny system
Shukrani, namuona mwenyewe hana stress .atavuka tuuAende chuoni hapo MUCE achukue barua ya kudisco, Apeleke hio barua TCU ili wamtoe katika system ili aweze apply chuo kingine katika second round hii.
Kudisco sio mwisho wa maisha, maisha lazma yaendelee mpe moyo, mfariji, hili jambo linaumiza sana asikuambie mtu.
Kila mwaka inatoka allocation mpyaivi allocation kila mwaka inakuja mpya kwa contineous to come
kwahiyo inaweza ikashuka au kupandaa?Kila mwaka inatoka allocation mpya
Polee mkuu angalia maisha mengineSalamu, wakuu kuna ndugu yangu kapata GPA ya 1.3 first year. Kwa matokeo haya kuna namna ya kuingia mwaka wa pili??? Kweli
Au imeshatoka akafanye maisha mengine mtaani
Watazitoa utaangalia Mkuu zinatumwa vyuoni.kwahiyo inaweza ikashuka au kupandaa?
na utajuaje allocation yako
kwaiyo mpunga unaweza ukashuka au kupand@?Watazitoa utaangalia Mkuu zinatumwa vyuoni.
Asilimia kubwa inabaki vilevile au kuongezeka kidogo Sana kushuka Hapanakwaiyo mpunga unaweza ukashuka au kupand@?
Atafute chuo upyaKadisco ndio
Kwa mkopo ule ule au ataomba upya???Atafute chuo upya
si disco hio?Salamu, wakuu kuna ndugu yangu kapata GPA ya 1.3 first year. Kwa matokeo haya kuna namna ya kuingia mwaka wa pili??? Kweli
Au imeshatoka akafanye maisha mengine mtaani
Ni discosi disco hio?
ajipange kuapply upyaNi disco