cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,772
- 5,308
Ungesema kadisco mzeee tukupe ushauriAmedisco kwa mwaka wa kwanza
Ungesema kadisco mzeee tukupe ushauriAmedisco kwa mwaka wa kwanza
Hata hiyo bado hawez kufanya labda ni kwa baadhi ya vyuo but kuna vyuo vngne ukipata gpa below 2.0 umedisco tayari, na unaruhusiwa kufanya supplementary exams. Na kama upo below ya 2.0 na una sup huruhusiwi kufanya tayar huna chuoKufanya supplementary exam ilibidi awe atlest na gpa ya 1.8
Ndio atadaiwa kiasi alichokopeshwa tena inabidi arudi chuo apewe barua yake ya kudisco aipeleke loan board asitishiwe mkopo wake tofauti na hapo chuo kinaweza kisipeleke taarifa zake pesa ikaendelea kuingia kwenye mifuko ya wakubwaNa HESLB watadai chao??
Ngoma imelala hiyo. Labda u apply upya. Kufanua sap mpaka uwe na 1.8 gpaSalamu, wakuu kuna ndugu yangu kapata GPA ya 1.3 first year. Kwa matokeo haya kuna namna ya kuingia mwaka wa pili??? Kweli
Au imeshatoka akafanye maisha mengine mtaani
Mi nipo mwaka wa 2 nawezaje kupata honorable GPAMpaka hapo kesha disco tayari! Kuingia second yr inatakiwa awe na gpa ya kuanzia 2.0 au zaidi!
Discontinue maana yake akafanye ama akasome kozi ingine tuKwahiyo hapo anaweza kuendelea maana kwenye ARIS wamemwandikia discontinue
Huu ndio mfumo mbovu wa chuo..... Hakuna negotiation ya failureHakuna mtihani wa special ili kuongezea hiyo GPA
Hakuna njia nyingine zaidi ya kusoma kwa bidii na kuhakikisha una maintain gpa yako isishuke au kubaki pale pale kutoka mwaka mmoja kwenda mwingine!Mi nipo mwaka wa 2 nawezaje kupata honorable GPA
Kama una chura na sura ya kuvutia unawezaje pata hiyo G.P.A,kaongee na waadhiri vizur,mbona kuna binti nimemaliza nae akapata changamoto ya hivyohivyo lakn alifanikiwa akamaliza na anakaz nzuri tu sshv...kiuno msingiHakuna njia nyingine zaidi ya kusoma kwa bidii na kuhakikisha una maintain gpa yako isishuke au kubaki pale pale kutoka mwaka mmoja kwenda mwingine!
BED (SCIENCE)Course gan alikua anapiga..
Mimi sijawahi kufika hiyo level. Nina kacheti tuuuMkuu MBNA unaogopa si useme tu niwew
Kadisco ndioUngesema kadisco mzeee tukupe ushauri
Ni binti, mkuu afanyeje kufika hapoKama ni binti mbona ipo namna anaendelea tu na kugraduate na Hon kabisa.
Duuh 1.3 chuo gani??? Muhimbili au???Kadisco ndio
Hapana mkuu mimi sijafikia level ya degreeMkuu MBNA unaogopa si useme tu niwew
MuceDuuh 1.3 chuo gani??? Muhimbili au???