Can't say more umemaliza yoteUlimwambia kama tayari una ndoa ?? Kama ndio, Basi mwambie aheshimu hilo (Ndoa iheshimiwe na watu wote)
Mke unaye sawa, je unavaa pete ya ndoa?*Mimi nina mke, ingawa nafanya kazi mkoa mwingine na familia yangu inaishi mkoa mwingine.
Basi mwambie ajiheshimu aache kupoteza muda kwa mume wamtuAnafahamu hilo. Kimsingi nimeongea nae mengi sana.
Anafahamu hadi idadi ya kids nilionao
Lakini pamoja na kuwa hamkubali alishamgegeda huyo mdada wa watu.... ukishaalikwa dinner, baada ya kumaliza lazima na kamgegedo kadogo kafuatie...Sasa unajuliza moyo wako haukubali tena??
Kwasababu una mke ndio maana moyo wako unakuwa mzito
Shukuru kwa hilo na omba uendelee kuwa na moyo huo huo
Mkuu huyo ndio anakuja kuharibu maisha ya watoto wako. Kama haujali mpitie tu lakini ukweli ni kuwa atakuvurugia familia yako na malezi ya watoto wako.Ni mwanamke ambaye tumefahamiana kama miezi minane iliyopita. Ofisi yake na yangu zipo jirani sana.
Mara nyingi tumekuwa tukienda breakfast na lunch pamoja.
Amekuwa akinitumia msg ambazo 100%zinaonesha kuwa anahitaji tuwe ktk uhusiano wa kimapenzi. Hatoki kazini bila kunipitia. Na nikimwambia labda nipo bize, lazima atanisubiri.
Weekend, hupenda kunikaribisha kwake hasa kwa ajili ya dinner. Na ikitokea sijaenda, lazima aniletee. Na sometimes, huwa anataka nimpe nguo zangu anifulie na kuzipiga pasi. Nilimpa mara moja tu nguo za kufua.
Si hivyo tu, bali amekuwa akinitumia meseji au kunipigia simu, KESHO NAOMBA UVAE NGUO FULANI..
Najua kuwa ananipenda sana.Tatizo moyo wangu, mbona haumkubali? Mbona nakuwa mzito?
Nifanyaje?
*Mimi nina mke, ingawa nafanya kazi mkoa mwingine na familia yangu inaishi mkoa mwingine.
Kama mke ulienae anakuheshimu basi usimvunjie heshima lakini kama mkeo hakuheshimu na anakuchukulia poa tu,kamata fursa twenzetu mwanangu!Anafahamu hilo. Kimsingi nimeongea nae mengi sana.
Anafahamu hadi idadi ya kids nilionao
Natafakari miss chagga. Lazima nikiri kwa moyo kwamba, nimemjengea mazingira.Mbavu za Mbwa mbona hutujibu mnafanya nini sa hivi?
basi acha mara moja utapoteza mwelekeo wa familia yako na utalaumika mpaka kaburini ..... kama mnachepuka kiaina na si awe ndiyo mmilikiNatafakari miss chagga. Lazima nikiri kwa moyo kwamba, nimemjengea mazingira.
Ila nilimwambia kila kitu