Ananidanganya ili anioe

Ananidanganya ili anioe

Shikamoo wakubwa,

Mimi ni binti mkubwa kiasi nimemaliza form six mwaka huu, kuna huyu kaka jamani yeye ana miaka 31,yaani amengangania anioe sasa mimi nashindwa tutaishije, nilishafika kwake hata kitanda hana analala chini, bado anatafuta kazi, ananiambia nikubali tufanye harusi zawadi tutakazopata tutaanzia maisha halafu akipata kazi atanisomesha yeye chuo.
UMESEMA ANAKUDANGANYA, INA MAANA UMETAMBUA. kwa maana hiyo huyo anasema kweli, kutokuwa na kitu ndani si kushindwa kukuoa, oaneni muanze alifu kwa kijiti pamoja.
Nishauri mlioolewa na nyie mlianza kulala chini kama mimi.
 
uongo haujulikani isipokuwa kwa aliyeongopewa. maadamu wewe umebaini anakudangany huyo ni mkweli. oaneni muanze maisha kwa pamoja mtatafuta na kupata, Mungu atwasaidia......
 
Wewe binti hutujui sisi wanaume wewe, dunia haijawahi kuwa rahisi hata siku moja, you should fight on your own!!.....Kumkubalia jamaa ni kutake pure risk and you will suffer enormously, natamani umkubalie jamaa halafu utaikumbuka hii comment yangu milele!
Yani nakubaliana na wewe asilimia 1000000000000000000000000 mlango anaotaka kuingilia mm nilishaungilia miaka kadhaa ilopita
 
Miaka 31 hana hata kitanda ,,?? Analala chini?? Miaka yote hiyo alikuwa anafanya nn?? Pima IQ ya mumeo mtarajiwa pia ,sidhani kama mwanamume timamu kabisa miaka zaidi ya 30 hana hata kitanda halafu anakuahidi kukusomesha
Huyoo jamaa boya saana,,,hafai kua mme wa mtu
 
Hujadanganywa bana embu rekebisha hapo.. Kama unampenda kalale chini ila kama humpendi subiri afanikiwe ndiyo uende kupenda hela
Eti mwaya!! mbona Dr mihogo na Josephine walivumilia kula mihogo na dagaa na sasa wanakula bata Canada?
 
Sikush&iri hiyo ndoa hata kidogo shule ndo kwaheriiiiii kisa ndoa? Mdogo hivyo??? Embu acha matani na maisha loh gori keeper.
 
Back
Top Bottom