Shikamoo wakubwa,
Mimi ni binti mkubwa kiasi nimemaliza form six mwaka huu, kuna huyu kaka jamani yeye ana miaka 31,yaani amengangania anioe sasa mimi nashindwa tutaishije, nilishafika kwake hata kitanda hana analala chini, bado anatafuta kazi, ananiambia nikubali tufanye harusi zawadi tutakazopata tutaanzia maisha halafu akipata kazi atanisomesha yeye chuo.
UMESEMA ANAKUDANGANYA, INA MAANA UMETAMBUA. kwa maana hiyo huyo anasema kweli, kutokuwa na kitu ndani si kushindwa kukuoa, oaneni muanze alifu kwa kijiti pamoja.
Nishauri mlioolewa na nyie mlianza kulala chini kama mimi.