Ananidanganya ili anioe

Ananidanganya ili anioe

dah! yani story yako ni kama ya mdogo wangu alidanganywa hivohivo tulimkanya hakusikia na ilamua kuondoka nyumban yaani yaliyomkuta anajuta sasa hiv yani watoto kama nyie mnauzi sana dah! ngoja nikae kimya nisije nikatukana
 
dah! yani story yako ni kama ya mdogo wangu alidanganywa hivohivo tulimkanya hakusikia na ilamua kuondoka nyumban yaani yaliyomkuta anajuta sasa hiv yani watoto kama nyie mnauzi sana dah! ngoja nikae kimya nisije nikatukana
Sifikiri watu wote wanatabia zinazofanana. Chamsingi muombee mwenzako apate mme mwema na si kufikiri kuwa alichopata mdogo wako na yeye atapata.
 
Bado una akili za kitoto , yaani muanze maisha kwa zawadi za harusi, hiyo we unaona imekaa sawa kweli?? Hebu vumilia kidogo umalize chuo kuolewa kupo tuu, unashindwa kutambua hili dogo hivi ndo utaweza kulea familia kweli?? Za kuambiwa changanya na zako mdogo wangu
 
Shikamoo wakubwa,

Mimi ni binti mkubwa kiasi nimemaliza form six mwaka huu, kuna huyu kaka jamani yeye ana miaka 31,yaani amengangania anioe sasa mimi nashindwa tutaishije, nilishafika kwake hata kitanda hana analala chini, bado anatafuta kazi, ananiambia nikubali tufanye harusi zawadi tutakazopata tutaanzia maisha halafu akipata kazi atanisomesha yeye chuo.

Nishauri mlioolewa na nyie mlianza kulala chini kama mimi.
mwanamke ukiwa maskini ni upumbavu wako mwenyewe
 
Shikamoo wakubwa,

Mimi ni binti mkubwa kiasi nimemaliza form six mwaka huu, kuna huyu kaka jamani yeye ana miaka 31,yaani amengangania anioe sasa mimi nashindwa tutaishije, nilishafika kwake hata kitanda hana analala chini, bado anatafuta kazi, ananiambia nikubali tufanye harusi zawadi tutakazopata tutaanzia maisha halafu akipata kazi atanisomesha yeye chuo.

Nishauri mlioolewa na nyie mlianza kulala chini kama mimi.
Kaolewe tu dada yangu.

Maisha huwa yanapatikana muda wowote, cha muhimu ni kuangalia kama ana akili za maisha.

Na je huo jamaa ana kaelimu kidogo?? au ndio nanihii tena......
 
Ukipata mwanamke amekubali kua na wewe through thick and thin,wakati wa tanfoam na wakati wa mkeka mng'ang'anie usimwache aende zake.
Narudi kwako,kabla ya kuomba ushauri hapa umemsaidiaje mpenzi wako kuhakikisha halali chini,umemtia moyo kiasi gani kipindi hicho chote anachotafuta kazi more importantly kipindi hichi cha dhiki umemfaaje huyo msela.
Usituambie mkaka anakung'ang'ania tuambie unampenzi yupo juu ya mawe lakini anataka akuoe.
 
Hiyo kali sana,,,kama vipi we olewa nae tu huenda mungu kakupangia huyo
 
umemaliza form six mwaka huu means kama una miaka mingi 19 tulia mdogo wangu angalia elimu kwanza ndoa zipo tu
 
Ahsanteni wote nitaolewa nitamvumilia tu,ila naogopa rafiki zangu wakijua hata hatuna kitanda si watanicheka jamani

Ucolewe kwanza maana bado una akili za kitoto sana.....subili ukue maana unaogopa kuchekwa na agemate wenzio
 
Ni ngumu kukishaur maana mkweli hapo ni ww.jiulize masawal yafuatayo.

~je unampenda?
~anakujali?
~Nn unakiona kutoka kwake?
~anakufaa kuwa mumeo?
~anajuhud ya kutimiza anayo ongea km kutafuta kaz,kujenga maisha na ww au hata na mtu mwingine?

Mengine matokeo,pia kwa mm huyo kaka ni mkweli na anakupenda pia muwaz sana.

Kulala chin au kitandan ni matokeo.sifa ya ndege ni uzur wa manyoya yake na sifa ya mwanamke ni UVUMILIVU.
 
Shikamoo wakubwa,

Mimi ni binti mkubwa kiasi nimemaliza form six mwaka huu, kuna huyu kaka jamani yeye ana miaka 31,yaani amengangania anioe sasa mimi nashindwa tutaishije, nilishafika kwake hata kitanda hana analala chini, bado anatafuta kazi, ananiambia nikubali tufanye harusi zawadi tutakazopata tutaanzia maisha halafu akipata kazi atanisomesha yeye chuo.

Nishauri mlioolewa na nyie mlianza kulala chini kama mimi.
Just let the dreamer go. Unless unataka kuchakazwa
 
"Mwanamke mzuri asie na akili ni sawa na Pete ya dhahabu kwenye pua ya nguruwe"
 
Binti ebu kaa utafakari kwamakini.Mawazo yangu yananiambia utakuja kujuta mbeleni na utarudi umu ukiwa unalia.Unaonekana bado hujakomaa kuimili mikiki mikiki ya familia
 
Unapo mdadisi unamuona ni mtu anapenda kazi japo hana kitu kwa sasa ila kama ni mpenda kazi na ana hofu ya Bwana asiye mruka rukaji pia moyo wako umemridhia bila wasiwasi, kubali Akuoe mtutatoka tu kwa uwezo wa Mola.
 
Ahsanteni wote nitaolewa nitamvumilia tu,ila naogopa rafiki zangu wakijua hata hatuna kitanda si watanicheka jamani
Sasa wewe Anna unataka kitanda au mshedede?coz unaweza kuolewa na tajiri halafu pipi mti hana,halafu houseboy ndio atakupa pipi mti,je hivyo ndo unataka/
 
Back
Top Bottom