Kaka mimi nafikiri kama wengine walivochangia wewe haumtoshelezi kabisa,either anasema tu kuwa unapiga game vizuri kwa kukuridhisha.
Unajua wanaume wengi wanafikiria kushika kupush mbele na nyuma sana ndio kufanya vizuri kwenyewe,wengine wanafikiria nimchezee kiharage chake hadi akome ndio mwanamke anafurahi,
Jibu ni kwamba NO,kuna wanaume wengine hawajui,mimi kwa experience yangu my man ambaye alikuwa ananishika kwa kidole au kwa ulimi kiharage kwa muda mrefu sana mwanzano ur okey but latter on unaboreka unaumia na ukimkataza anaona sasa hapa hapa naona ndio anasikia raha yenyewe basi i was totaly bored and not ready to do that again.yaani inakera sana.sasa mimi nimefikiri kwamba wewe unafanya hivyo na hauko tayari kuwa mbunifu,mimi bado nina uyo kaka but sio siri when its come to make love uwa natamani kukimbia na uwa nampa hata mara 1 kwa miezi 3 kwa sababu ya hicho,
Kwako wewe kuwa mbunifu na jitahidi kujua wapi mpenzi wako anapenda zaidi.
na jua ya kwamba some of the women hawapendi kuzungushwa sana kitandani sijui style hii sijui ile uwa wanafanya hivyo kwa ajili yenu tu,na romance ni muhimu sana kwa mwanamke kuliko kuingiza na wanawake wengi uwa wanacome kwenye romance na mara chache sana kwenye kuingiza nanihiyo yako ,ndio maana mpenzi wako anakuambia kimafumbo kuwa anapeza kujichua,
FANYA KAZI YA ZIADA KAKA NA UKIWA KWENYE GAME USIWE SELFISH
Unajua wanaume wengi wanafikiria kushika kupush mbele na nyuma sana ndio kufanya vizuri kwenyewe,wengine wanafikiria nimchezee kiharage chake hadi akome ndio mwanamke anafurahi,
Jibu ni kwamba NO,kuna wanaume wengine hawajui,mimi kwa experience yangu my man ambaye alikuwa ananishika kwa kidole au kwa ulimi kiharage kwa muda mrefu sana mwanzano ur okey but latter on unaboreka unaumia na ukimkataza anaona sasa hapa hapa naona ndio anasikia raha yenyewe basi i was totaly bored and not ready to do that again.yaani inakera sana.sasa mimi nimefikiri kwamba wewe unafanya hivyo na hauko tayari kuwa mbunifu,mimi bado nina uyo kaka but sio siri when its come to make love uwa natamani kukimbia na uwa nampa hata mara 1 kwa miezi 3 kwa sababu ya hicho,
Kwako wewe kuwa mbunifu na jitahidi kujua wapi mpenzi wako anapenda zaidi.
na jua ya kwamba some of the women hawapendi kuzungushwa sana kitandani sijui style hii sijui ile uwa wanafanya hivyo kwa ajili yenu tu,na romance ni muhimu sana kwa mwanamke kuliko kuingiza na wanawake wengi uwa wanacome kwenye romance na mara chache sana kwenye kuingiza nanihiyo yako ,ndio maana mpenzi wako anakuambia kimafumbo kuwa anapeza kujichua,
FANYA KAZI YA ZIADA KAKA NA UKIWA KWENYE GAME USIWE SELFISH