TUMBOO
JF-Expert Member
- Jun 27, 2014
- 3,827
- 2,013
umeonaaeeeek kipenz unakumbuka sebene la kipind kile huyu zinc na story zake daaa
Hahahaaaa yaan kanikumbusha mbali sana enzi zilee afu mimba yangu imekua ujue
umeonaaeeeek kipenz unakumbuka sebene la kipind kile huyu zinc na story zake daaa
Shoga kwanini unataka dudu ya watu lkn af unajifungua lini ha ha ha ha (uchokozi.com)
Hahahaaaa naitaka dudus mie yaan mimba ndio kwanza ina miez sita hahahaaa
So, what follows.Siyo kwamba ni vp!!!
Mi simtaki
Ni kweli matatizo ninayo, ninavuta subira aliyekuwa mwandani wangu ajifungue ili niujue ukweli. Sasa d.u.d.u langu analitakia nini!!! Tumboo ukitaka d.u.d.u langu kwa hiari yako nitakupa na wala sitakuangusha wallah, lakini siyo huyu ambaye nimekosa imani nae, na yeye amekosa imani na mimi
stoke city
stoke city
You are tired of that guy wewe ni mwanamke au mwanaume? au kingereza ni tatizo au umecopy sehemu? sorry yoo i pay too much attention to little details...
Siyo kwamba ni vp!!!
Mi simtaki
Hahahaaaa yaan kanikumbusha mbali sana enzi zilee afu mimba yangu imekua ujue
Evelyn Salt unazingua sanaMwenzio hataki, ntakuja kwenye baby shower mie