Ananiambia anataka

Ananiambia anataka

Hii ni muendelezo wa kile kisusumbe cha wakati ule au ni stori mpya...???
 
Ndugu wana JamiiForums.

Aliyekuwa mpenzi wangu ambaye ana miezi kadhaa tangu apate ujauzito. Na ananisingizia mimi eti huo ujauzito ni wa kwangu, sasa nimekubali tu kwa shingo upande mpaka atakapo jifungua ili ukweli ujulikane. Ila amekuwa akinisumbua eti anahitaji d.u.d.u langu, mimi nimekuwa nikikataa kwa sababu zangu mwenyewe.

Wadau kweli nimeamini wanawake ni wasumbufu balaa, I'm tired with this guy.

Hivi uko drs la ngapi vile tena... ni la 5 au 6 uliniambia?
 
We zinc nae unamatatizo

Ni kweli matatizo ninayo, ninavuta subira aliyekuwa mwandani wangu ajifungue ili niujue ukweli. Sasa d.u.d.u langu analitakia nini!!! Tumboo ukitaka d.u.d.u langu kwa hiari yako nitakupa na wala sitakuangusha wallah, lakini siyo huyu ambaye nimekosa imani nae, na yeye amekosa imani na mimi
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli matatizo ninayo, ninavuta subira aliyekuwa mwandani wangu ajifungue ili niujue ukweli. Sasa d.u.d.u langu analitakia nini!!! Tumboo ukitaka d.u.d.u langu kwa hiari yako nitakupa na wala sitakuangusha wallah, lakini siyo huyu ambaye nimekosa imani nae, na yeye amekosa imani na mimi

Hahahaaaa afu umenikumbusha mbali sana etii umenikumbusha ile topic yako kuhus mimba kua eti ni mm usje ukawa unanizunguka kumbe unanizungumzia mm
 
Last edited by a moderator:
Mara mia nikupe wewe d.u.d.u ili tumalize tofauti zetu. Huyu mwingine ni shedaah
siku zote wajawazito huwa wanapenda kuduuuuu nadhani ili kupanua njia, so nduguyangu mpanue njia ili akuzalie mtoto vzr make unaweza ukadhani si wako kumbe ni wako, after all dudu si chaki kwamba itaisha ubaoni!!!!!!!!
 
Ndugu wana JamiiForums.

Aliyekuwa mpenzi wangu ambaye ana miezi kadhaa tangu apate ujauzito. Na ananisingizia mimi eti huo ujauzito ni wa kwangu, sasa nimekubali tu kwa shingo upande mpaka atakapo jifungua ili ukweli ujulikane. Ila amekuwa akinisumbua eti anahitaji d.u.d.u langu, mimi nimekuwa nikikataa kwa sababu zangu mwenyewe.

Wadau kweli nimeamini wanawake ni wasumbufu balaa, I'm tired with this guy.

Kwahyo siku hizi wanaume wanapata mimba? Na hao wanaume wanataka dudu lako??
 
So what? siku hizi kuna vijivulana vingi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom