Anang'ang'ania watoto wangu

Anang'ang'ania watoto wangu

Habar wanajamvi, nadhan mambo yanaenda vyema! Leo nimepata ugeni mdogo wangu mtoto wa mama mdogo kaja kunitembelea nyumbani kwangu. Kanieleza tatzo lake nimeshndwa jins ya kumsaidia nikaona nijaribu kushare nanyi nipate chochote chakumsaidia! Haya wandugu mkasa wenyew upo hvi., bidada ni mfanyakaz muajiriwa ktk kampun fulan na ni mke wa mtu pia amebarikiwa kupata watoto watatu wote ni mapacha. Sasa kabla hajaolewa alikuwa na boyfriend wake ambae kwa kpnd hcho alikuwa na maisha duni ukilinganisha na hali ya bibie na mumewe. Wakt huo anadate na huyo jamaa pia wapo ktk uchumb na mumew, bibie akafunga ndoa after1year akiwa tayar mjamzto. Akajipatia hao twins wake watat, mabint wawil na njemba mmoja. Huyo njemb kafanana sana na mumew jambo amblo shem anafurah sana. Watot mpk sasa wana miaka mi4, kashesh limeibuka juz, jamaa yule wa zaman anadai watot ni wake na ukiangalia kwa mbal wanafanana, jamaa amekuwa mkali anataka watot wake yani amempa bidada cku mbili ampe jibu watoto ni wanani? Mumew anampenda sana na ni anajali sana family. Anawapenda watot wake hatare yan walipozaliwa tu shem aliomb likzo kazn ili alee watoto wake kwanza. Sasa bibie amechanganykiwa hajui afanyeje na anamuogopa mumewe!! Hapo naomb tumsaidie mawazo. Yupo humuhumu! Nawasilisha....
Ndo madhara ya kuchepukachepuka, unamchumba bado wagawa kitumbua, awe tayari kudharirika na kuteseka toka kwa mumewe wa ndoa, DNA inamuita na siri imefichuka
 
Watoto wake?? Mshenzi mkubwa!!!!! Anajua bei ya panadol huyo, nani kakuambia kitanda kinazaa haramu... he might be a mere biological father... So what??? Machete.... Machete
 
Teh
upande mume upande mchepuko!!!!

Khaa! Eti bhana!

Au sisi ndio tumemuelewa vibaya huyu mleta mada? Sijawahi kukutana na sura za hivyo asee!

Dhambi ya kuchepuka inamtafuna huyo, aseme tu ukweli watoto ni wamchepuko ila ndio vile tena kitanda hakizai haramu kawashikisha kwa mpenzi wa ndoa!

Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
 
Kwakweli wanawake wanatabu na wanadanganywa kupita kiasi

Mmmhhh
Hapana huu ni upumbavu
Ww una mtu ambae yupo committed halafu hyo wa pembeni wa nn?
Haya mbaya zaid bila kinga?
....kila kitu narudia tena kila kitu kinachofanyika(dhambi) lzm mhusika ailipie watu huwa hawaelewi somtym wanapokutwa na majanga wanasahau waliyoyafanya nyuma huko!....unless umeomba toba/rehema kwa Mungu ! She has to pay the price.dhambi=mauti, ndo hayo ss!...
Yaani kaniudhi (km ni kweli)
 
Huu uzi umenikumbusha uzi huu.

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/14047-mtoto-wa-nje-ya-ndoa.html
 
Habar wanajamvi, nadhan mambo yanaenda vyema! Leo nimepata ugeni mdogo wangu mtoto wa mama mdogo kaja kunitembelea nyumbani kwangu. Kanieleza tatzo lake nimeshndwa jins ya kumsaidia nikaona nijaribu kushare nanyi nipate chochote chakumsaidia! Haya wandugu mkasa wenyew upo hvi., bidada ni mfanyakaz muajiriwa ktk kampun fulan na ni mke wa mtu pia amebarikiwa kupata watoto watatu wote ni mapacha. Sasa kabla hajaolewa alikuwa na boyfriend wake ambae kwa kpnd hcho alikuwa na maisha duni ukilinganisha na hali ya bibie na mumewe. Wakt huo anadate na huyo jamaa pia wapo ktk uchumb na mumew, bibie akafunga ndoa after1year akiwa tayar mjamzto. Akajipatia hao twins wake watat, mabint wawil na njemba mmoja. Huyo njemb kafanana sana na mumew jambo amblo shem anafurah sana. Watot mpk sasa wana miaka mi4, kashesh limeibuka juz, jamaa yule wa zaman anadai watot ni wake na ukiangalia kwa mbal wanafanana, jamaa amekuwa mkali anataka watot wake yani amempa bidada cku mbili ampe jibu watoto ni wanani? Mumew anampenda sana na ni anajali sana family. Anawapenda watot wake hatare yan walipozaliwa tu shem aliomb likzo kazn ili alee watoto wake kwanza. Sasa bibie amechanganykiwa hajui afanyeje na anamuogopa mumewe!! Hapo naomb tumsaidie mawazo. Yupo humuhumu! Nawasilisha....

Nina mashaka na kisa hiki, hapo kwenye red unajenga hoja kwamba watoto ni wa mume wa rafiki yako kwani huyo wa kiume anafanana na babaye but hapo kwenye blue unatumbia tena watoto wanafanana na mpenzi wa zamani.
 
Habar wanajamvi, nadhan mambo yanaenda vyema! Leo nimepata ugeni mdogo wangu mtoto wa mama mdogo kaja kunitembelea nyumbani kwangu. Kanieleza tatzo lake nimeshndwa jins ya kumsaidia nikaona nijaribu kushare nanyi nipate chochote uchakumsaidia! Haya wandugu mkasa wenyew upo hvi., bidada ni mfanyakaz muajiriwa ktk kampun fulan na ni mke wa mtu pia amebarikiwa kupata watoto watatu wote ni mapacha. Sasa kabla hajaolewa alikuwa na boyfriend wake ambae kwa kpnd hcho alikuwa na maisha duni ukilinganisha na hali ya bibie na mumewe. Wakt huo anadate na huyo jamaa pia wapo ktk uchumb na mumew, bibie akafunga ndoa after1year akiwa tayar mjamzto. Akajipatia hao twins wake watat, mabint wawil na njemba mmoja. Huyo njemb kafanana sana na mumew jambo amblo shem anafurah sana. Watot mpk sasa wana miaka mi4, kashesh limeibuka juz, jamaa yule wa zaman anadai watot ni wake na ukiangalia kwa mbal wanafanana, jamaa amekuwa mkali anataka watot wake yani amempa bidada cku mbili ampe jibu watoto ni wanani? Mumew anampenda sana na ni anajali sana family. Anawapenda watot wake hatare yan walipozaliwa tu shem aliomb likzo kazn ili alee watoto wake kwanza. Sasa bibie amechanganykiwa hajui afanyeje na anamuogopa mumewe!! Hapo naomb tumsaidie mawazo. Yupo humuhumu! Nawasilisha....

Mmh yaani hii mbona ni kazi kwa Kweli. Kwanza Napenda kumpa pole huyo mdogo wako kwa yanayomkuta sasa hivi . Hapa Mimi kazi yangu si kumjudge , whom am I to judge her? Bali ni kumpa Yale yaliyo moyoni wangu ..Kama tatizo kutokea limeshatokea now tutafanyaje?
Dear kwa upande wangu nafikiri amueke chini mumewe kwa utulivu, hamna jinsi , amuombe Mungu amtie nguvu za kufanya ,hata kufunga na afunge kwa nia hiyo na zingine . Hawezi kuficha ukweli anymore ,its time for her to come clean ,kwa mume wake. Na ninajua haitakuwa rahisi but kwa nguvu za Mungu kila kitu kinawezekana .

Baada ya hapo wapange na mumewe kama yeye na mumewe na hao watoto wakachukue DNA, bila kwanza ya kumuhusisha huyo Jamaa. Kwa sababu lolote litakalo kuja wakiwa wawili ,wataweza kujadiliana kama wanandoa na kujua kitu gani cha kufanya, . Hapa kinachotakiwa hawa wandoa wawe pamoja na kushirikiana na ili iwe hivyo Mdada inabidi afanye hivyo. Kuwa.pamoja kwao kutamvunja nguvu za kishetani za yule jamaa alizo nazo moyoni, aka chuki, jealous, pay back nakadhalika.

Ndugu kama ikishindakana hivi naomba uni pm tafadhali tujue whats next. Vyovyote mtakavyoamua hakikisha mdogo wako anakuja clean kwa mume wake, because He desserves to hear the truth no more lies please. Atubu kwa aliyoyafanya . In meantime jamani tuiombee hii familia ipate muongozo mwema. Poleni sana, sana na kila la heri my dear. Thanks!
 
Mmmhhh
Hapana huu ni upumbavu
Ww una mtu ambae yupo committed halafu hyo wa pembeni wa nn?
Haya mbaya zaid bila kinga?
....kila kitu narudia tena kila kitu kinachofanyika(dhambi) lzm mhusika ailipie watu huwa hawaelewi somtym wanapokutwa na majanga wanasahau waliyoyafanya nyuma huko!....unless umeomba toba/rehema kwa Mungu ! She has to pay the price.dhambi=mauti, ndo hayo ss!...
Yaani kaniudhi (km ni kweli)

Kwakweli mapenzi magumu
 
Ubaya wa mapacha wasiofanana wanaweza kuwa na baba tofauti na mimba zimetungwa mayai tofauti na muda wa kutungwa mimba umepishana.:-(
 
Ubaya wa mapacha wasiofanana wanaweza kuwa na baba tofauti na mimba zimetungwa mayai tofauti na muda wa kutungwa mimba umepishana.:-(

Naomba uniongezee shule hapa kidogo! Inakuwaje hiyo?

Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
 
CARTER jibu lipo hapo hapo, mapacha wasiofanana ni kama kaka na dada wengine wowote ila tu wamekaa tumboni kipindi kimoja yaani kuna mmoja anaweza kumzidi mwenzie muda wa kutunga mimba hata wiki na zaidi lkn wakati wa kuzaliwa wakatoka wote. uwezekano wa mtu kutembea na mtu mwingine baada ya yai la kwanza kurutubishwa upo na iwapo kuna lingine limekomaa linaweza kurutubishwa na mbegu ya mwanaume mwingine: ni abnormality kutoa mayai mawili mwezi mmoja ila ndo ipo According to a researcher on multiple births.
 
hata mm najiuliza watoto wanafanana na baba 2 mhhh huu sasa ni uongo
 
Habari wanajamvi,
nadhani mambo yanaenda vyema.

Leo nimepata ugeni mdogo wangu mtoto wa mama mdogo kaja kunitembelea
nyumbani kwangu.

Kanieleza tatizo lake nimeshndwa jinsi ya kumsaidia nikaona nijaribu
kushare nanyi nipate chochote chakumsaidia.

Haya wandugu mkasa wenyewe upo hivi, bidada ni mfanyakazi muajiriwa
katika kampuni fulani na ni mke wa mtu pia amebarikiwa kupata watoto
watatu wote ni mapacha.

Sasa kabla hajaolewa alikuwa na boyfriend wake ambae kwa kipindi hicho
alikuwa na maisha duni ukilinganisha na hali ya bibie na mumewe.

Wakati huo anadate na huyo jamaa pia wapo katika uchumba na mumewe,
bibie akafunga ndoa after 1year akiwa tayari mjamzito.

Akajipatia hao twins wake watatu, mabinti wawili na njemba mmoja.

Huyo njemba kafanana sana na mumewe jambo ambalo shemu anafurahi sana.

Watoto mpaka sasa wana miaka minne, kasheshe limeibuka juzi, jamaa yule
wa zamani anadai watoto ni wake na ukiangalia kwa mbali wanafanana,
jamaa amekuwa mkali anataka watoto wake yaani amempa bidada siku mbili
ampe jibu watoto ni wanani?

Mumewe anampenda sana na anajali sana family.

Anawapenda watoto wake hatari yaani walipozaliwa tu shemu aliomba
likizo kazini ili alee watoto wake kwanza.

Sasa bibie amechanganykiwa hajui afanyeje na anamuogopa mumewe.

Hapo naomba tumsaidie mawazo.

Yupo humuhumu.

Nawasilisha.

shenzi type yaan kwa ili mm hata siulizi ushauri- anaelea watoto ndo baba watoto.limeona wamekuwa sasa linajileta.shenzi
 
Back
Top Bottom