Analysis: Akili nyingi za Tundu Lissu ni akili kiduchu kwa mazingira yetu

Ili uwe Naakili Huku Afrika unapaswa kuwa na akili zinazoweza unafiki na umbeya na kukariri masomo ya darasani kama roboti hayo ndio mazingira yetu.
Aliye mmbeya zaidi na mnafiki wa kiwango cha juu Anakua anasemekana anaakili zaidi. Uwezo tu wakuteka hisia za Watu ambao wengi hata uwezo wa kufikiri mdogo Sana na lengo kuu nikubaki kwenye madaraka au kupata madaraka.
Kuna watu bado wanafikiri wanasiasa wanajitolea kumbe Ile nikazi yao inawafanya wale, wajenge na watajirike.
Ukimchukua mtu kama Bakhresa kwangu Naona anaakili Sana Ila sasa sio mmbeya na hatafuti umaarufu hapo anaonekana anaakili chache na pia sio mwanasiasa Wala mwanaharakati ila anatatua shida za Maelfu ya Watu na hili halimfanyi aonekane sana na watanzania maana hafanyi umbeya na hakukariri masomo darasani.
Tunabaki na wanasiasa na silka yetu ya umbeya na kuwashabikia wanaotaka tuwashabikie kwa uzembe wetu Wa kufikiri
 
Nilidhani atakuwa chachu ya kuwatafutia vijana ajira; 2/3 ya ajira za US citizens huko Marekani zinatokana na ajira binafsi, kwamba sekta zilizoanzishwa na watu wenye akili nyingi (investors) zinawapa chakula wengine; nadhani ndio maana wana mfululizo wa billionaires kuwa POTUS; hapa kwetu mpiga mdomo mzuri kama jamaa yetu ambaye najua hajachangia hata 0.00000001% ya ajira binafsi anaitwa ana akili nyingi


Huko uingereza, Office of National Statistics iliripoti mwaka 2018 kwamba ajira katika sekta za umma imeshuka hadi 16% na kuishukuru sekta binafsi kuajiri takribani 84% ya Brits. Tukumbuke sekta binafsi ni akili binafsi (ninaziita akili nyingi) zilizoamua kuwekeza na kuajiri watu wengine; hapa kwetu mtu anayejua kupangilia maneno na matusi kwa watawala tunamuita mwenye akili nyingi


Hapa kwetu, badala ya akili nyingi (za hao tunaosifia wana akili kuzidi wengine) kutumika ku-manipulate mazingira na rasilimali zake kwa faida ya mtanzania, zinatumika kutukana, kudharau, kuona kila kitu kinachofanywa ni kibaya.


Nilidhani atakuja na mawazo mapya ya jinsi ya ku-exploit resources ambazo tunazo Tz; yeye anakuja na akili za kisheria za wale tulio ona hawafai kutuongoza(Waingereza, wajerumani); hapa nashindwa kumtofautisha na zile products tegemewa za elimu ya mkoloni(expected outputs of colonial education), ku-feed brain ya muafrika ili; aidha elimu aliyopata ashindwe kutumia rasilimali zake ama awe kinyume na wenzake. Nadhani akili nzuri ni ile inayotatua changamoto za mazingira yako, sio changamoto za mazingira mengine


Licha ya yote, namtakia afya njema na kumpa pole na maswahibu yaliyompata, japo akirudi abadilike na awe chachu ya maendeleo Tanzania; akili nyingi ziwe za msaada kwa wengine hasa zinazoendana na mazingira yetu..
Haters at work! Why Lissu and not CDM? That's what we call fear of unknown. Why attacking personality?

Mti wenye matunda ndiyo hutupiwa mawe. Potentials in respect of moral and ethical inclination vividly seems to favour the guy. Any evil scheme plot against him is explicitly your karma.
 
Kuna siku hatutaahirisha kufikiri na tutafikiri moja kwa moja tutagundua wenye akili hatuwajui na tunaowajua ni vilaza wakutukuka wanaotafuta shibe zao na vyeo.
Nakereka nikikutana na mashabiki au misukule au mitaji ya wanasiasa wananchi wanaotumia vionjo kuamua.
 
..alipofungua mkutano wa sadc alizungumza kiswahili.

..sikutegemea atakuja kuzungumza Kiingereza ktk mkutano huu.

..sasa huu ukigeugeu mara kiswahili, halafu kiingereza, unatufanya nchi nzima tuonekane ni kichekesho / kituko.
Yaani anaidhalilisha nchi huyu Mr Haambiliki.
 
..GENIUS huyu hapa.

..sikilizeni pointi anazotoa na jinsi alivyo na ushawishi.


Duh! Asalamaleku walah! Hii kali kuliko, naona mzee Joseph Butiku anajichekea vioja ambavyo katika maisha yake ya siasa hajawahi kukutana navyo.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Duh! Asalamaleku walah! Hii kali kuliko, naona mzee Joseph Butiku anajichekea vioja ambavyo katika maisha yake ya siasa hajawahi kukutana navyo.

..sijui anajisikiaje Mzee wa watu.

..maana huyu alimshuhudia Mwalimu Nyerere akimchachafya Ronald Reagan kule Cancun, Mexico.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Wakoloni walifanya zaid ya hayo lakini mwl aliwafukuzia mbali.
Lisu hana jipya ndugu yangu, nae ni mchumia tumbo tu,kelele zote za BBC ,VOA mara sijui kakutanana na nani kumbe ni kelele za debe tupu,ila akija atashangaa tu barabara nzuri,madaraja mazuri,Ndege mpya,reli mpya.Tunamkaribisha aje ashangae maendeleo yaliyopatikana katika muda mfupi
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Akumbuke alisaidia watuv300 ambao wengine walifungwa au kuwekwa mahabusu wakarudi uraiani kuinua uchumi na kulisha familia zao. Tofali ametoa ajira ngapi?
Mkuu, jamaa aliwahi kuwa Rais wa chama cha wanasheria Tanzania tu sio Rais wa nchi. Naona umechanganya Madesa
 
Nilidhani atakuwa chachu ya kuwatafutia vijana ajira; 2/3 ya ajira za US citizens huko Marekani zinatokana na ajira binafsi, kwamba sekta zilizoanzishwa na watu wenye akili nyingi (investors) zinawapa chakula wengine; nadhani ndio maana wana mfululizo wa billionaires kuwa POTUS; hapa kwetu mpiga mdomo mzuri kama jamaa yetu ambaye najua hajachangia hata 0.00000001% ya ajira binafsi anaitwa ana akili nyingi


Huko uingereza, Office of National Statistics iliripoti mwaka 2018 kwamba ajira katika sekta za umma imeshuka hadi 16% na kuishukuru sekta binafsi kuajiri takribani 84% ya Brits. Tukumbuke sekta binafsi ni akili binafsi (ninaziita akili nyingi) zilizoamua kuwekeza na kuajiri watu wengine; hapa kwetu mtu anayejua kupangilia maneno na matusi kwa watawala tunamuita mwenye akili nyingi


Hapa kwetu, badala ya akili nyingi (za hao tunaosifia wana akili kuzidi wengine) kutumika ku-manipulate mazingira na rasilimali zake kwa faida ya mtanzania, zinatumika kutukana, kudharau, kuona kila kitu kinachofanywa ni kibaya.


Nilidhani atakuja na mawazo mapya ya jinsi ya ku-exploit resources ambazo tunazo Tz; yeye anakuja na akili za kisheria za wale tulio ona hawafai kutuongoza(Waingereza, wajerumani); hapa nashindwa kumtofautisha na zile products tegemewa za elimu ya mkoloni(expected outputs of colonial education), ku-feed brain ya muafrika ili; aidha elimu aliyopata ashindwe kutumia rasilimali zake ama awe kinyume na wenzake. Nadhani akili nzuri ni ile inayotatua changamoto za mazingira yako, sio changamoto za mazingira mengine


Licha ya yote, namtakia afya njema na kumpa pole na maswahibu yaliyompata, japo akirudi abadilike na awe chachu ya maendeleo Tanzania; akili nyingi ziwe za msaada kwa wengine hasa zinazoendana na mazingira yetu..
takataka.... rubbish.... garbage
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Lucas Philipo said:
...Kwakweli ccm itatawala daima !!
Yaani watu wale wale, majina yale yale, akili zile zile, ujinga ule ule...

Lucas philipo, toka Tanzania izaliwe sasa ni zaidi ya nusu karne na matatizo yote tuliyopitia kama taifa mikononi mwa CCM, bado hujafikiria kwamba tunahitaji mabadiliko! Kila baada ya miaka 10 CCM inalazimisha kutoa kiongozi mbovu kuliko wa awali huku taifa likizidi kudidimia kwenye ujinga, umasikini na maradhi, lakini akina Philipo wetu wanaona sawa tu.

Imefikia kama mazuzu hata hamuoni aibu kusema CCM itawale milele, itatawala nini?

Mliua mashirika, mkaiba rasilimali, mkanyang'anya nyumba na viwanja, mkamiliki uhuru, mkataifisha haki, mkasigina katiba na sasa mmeanza kuteka raia, mnawatesa, mnawamiminia risasi na mnawapoteza mamia kwa maelfu...mlianza na jirani, mkahamia kwa marafiki na sasa ni kwa ndugu wenyewe kwa wenyewe, kabla ya hiyo milele, mtakuwa mmebakiza nini?
 
Sijawahi kusikia serikali ikiuwa mtu mwenye kichaa.......
Najua inauwa mbwa wenye kichaa..........

Kwa Lissu kupigwa Risasi inonyesha ni mtu mwenye akili nyingiiiiiiiii.........
Na wameshindwa jibu hoja zake, wakaamua suluhisho ni kumfanya kama mbwa mwenye kichaa.....
Kuonyesha kuwa wao ni wajinga na Lissu anaakili nyingi, wakashindwa hata kutimiza lengo wakiwa na risasi 38.........
Kama hamuamini kuwa Lissu anaakili nyingi, mpeni bunduki na Risasi moja tu, alafu mpe jukumu kama ulilojipa, then utajua nani mwenye akili..........
Mtoa mada, ilikwishaamuliwa, Lissu hajibiki kwa hoja bali ni kwa risasi...........
 
Hahahhahaa kwahyo wewe kwa upupu huu ulioandika ndo unamuita mleta mada namna ile?

Kwakweli ccm itatawala daima !!

Kwahiyo Bwana Philipo kuita comment yangu ni upupu ndio who cares?

Unaiita upupu,which is your right of course,na mimi naiita ni wisdom,which is my right too!

Mimi nimekunya na wewe umekunya na wote tuna haki ya kunya,hivyo sio issue!

Majukumu ya rAis unamvisha Tundu Lissu ambae hata ubunge hana,huo ni umakumaku kiwango cha SGR!

By the way,greetings from this shithole country!
 
hahaa, punguani ni neno la kiswahili linalo maanisha pungufu; huu ndio hasa mjadala kwamba akili za jamaa ni pungufu kwa mazingira ya Tz

Kwa maana yeye nani?

Kawa certified brain health doctor mpaka aongee umaku kiasi hicho?

Kwa mazingira ya Tanzania,ya nje anayajua mpaka afanye hizo comparisons?
 
Nilidhani atakuwa chachu ya kuwatafutia vijana ajira; 2/3 ya ajira za US citizens huko Marekani zinatokana na ajira binafsi, kwamba sekta zilizoanzishwa na watu wenye akili nyingi (investors) zinawapa chakula wengine; nadhani ndio maana wana mfululizo wa billionaires kuwa POTUS; hapa kwetu mpiga mdomo mzuri kama jamaa yetu ambaye najua hajachangia hata 0.00000001% ya ajira binafsi anaitwa ana akili nyingi


Huko uingereza, Office of National Statistics iliripoti mwaka 2018 kwamba ajira katika sekta za umma imeshuka hadi 16% na kuishukuru sekta binafsi kuajiri takribani 84% ya Brits. Tukumbuke sekta binafsi ni akili binafsi (ninaziita akili nyingi) zilizoamua kuwekeza na kuajiri watu wengine; hapa kwetu mtu anayejua kupangilia maneno na matusi kwa watawala tunamuita mwenye akili nyingi


Hapa kwetu, badala ya akili nyingi (za hao tunaosifia wana akili kuzidi wengine) kutumika ku-manipulate mazingira na rasilimali zake kwa faida ya mtanzania, zinatumika kutukana, kudharau, kuona kila kitu kinachofanywa ni kibaya.


Nilidhani atakuja na mawazo mapya ya jinsi ya ku-exploit resources ambazo tunazo Tz; yeye anakuja na akili za kisheria za wale tulio ona hawafai kutuongoza(Waingereza, wajerumani); hapa nashindwa kumtofautisha na zile products tegemewa za elimu ya mkoloni(expected outputs of colonial education), ku-feed brain ya muafrika ili; aidha elimu aliyopata ashindwe kutumia rasilimali zake ama awe kinyume na wenzake. Nadhani akili nzuri ni ile inayotatua changamoto za mazingira yako, sio changamoto za mazingira mengine


Licha ya yote, namtakia afya njema na kumpa pole na maswahibu yaliyompata, japo akirudi abadilike na awe chachu ya maendeleo Tanzania; akili nyingi ziwe za msaada kwa wengine hasa zinazoendana na mazingira yetu..
Inahitaji akili nyingi kubaki madarakani kwa nguvu.
 
Back
Top Bottom