Analysis: Akili nyingi za Tundu Lissu ni akili kiduchu kwa mazingira yetu

Akili nyingi za wasomi wetu hazina msaada kwa watu wenye kustahili kuzitumia.

Pale ubungo kile kipita shoto cha dharula wakati ikiendelea kujengwa flyover, wasomi wetu hawana uwezo wa kubuni kitu kama kile.

Kazi Yao ni malalamiko kejeli na bezo wanapokuwa ndani ya studio za vituo vya runinga.
Wasomi wetu Ni WASEMA SOLUTION Sio WATOA SOLUTION.Mfano Sasa hivi Kuna tatizo la ajira badala ya wao kutoa solution yaani kutoa ajira wao Kama wasomi wao wanaongelea tatizo la ukosefu wa ajira!! Kuliondoa SI waajiri. Wanachonga midomo Sana kwenye lakini kwenye practice wako zero.
 
Hivi matatizo yoote ya ajira ulioyasema wakulaumiwa ndio awe Lissu? AGain huko uliko kusema USA na UK sio wasomi saana kama Lissu ndio waliotengeneza ajira kwa hao unao wasifia. Hata wewe unaweza kutengeneza AJIRA kwa wengine, why unataka awe Lissu tu na sio mtu mwingine ukiwepo mimi na wewe!? Nahisi unachuki zako na Lissu but ume present vibaya.
 
Hivi matatizo yoote ya ajira ulioyasema wakulaumiwa ndio awe Lissu? AGain huko uliko kusema USA na UK sio wasomi saana kama Lissu ndio waliotengeneza ajira kwa hao unao wasifia. Hata wewe unaweza kutengeneza AJIRA kwa wengine, why unataka awe Lissu tu na sio mtu mwingine ukiwepo mimi na wewe!? Nahisi unachuki zako na Lissu but ume present vibaya.
Mtoa mada katoa challenge kwa wasomi wote akichukulia mfano wa Lisu as a living example
 
Wewe mleta post umeajiri wangapi wewe ni mpumbavu usiyejijua
Mkuu hi mada imezidi uwezo wa kichwa chako kuhimili kakipumzishe kimeshapata Moto kihurumie kisilipuke.Jamii forums haina gari la zimamoto
 
Mtoa mada katoa challenge kwa wasomi wote akichukulia mfano wa Lisu as a living example
Hapana,toka mwanzo mpaka mwisho ni Lissu!JPM kama Dr ametoa ajira kwa nani?Sijasema kama Rais maana yeyote akiwa Rais ana uwezo huo!!!!

Nikueleze tu,waajiri wengi si wasomi wakubwa!
 
Nilidhani atakuwa chachu ya kuwatafutia vijana ajira; 2/3 ya ajira za US citizens huko Marekani zinatokana na ajira binafsi, kwamba sekta zilizoanzishwa na watu wenye akili nyingi (investors) zinawapa chakula wengine; nadhani ndio maana wana mfululizo wa billionaires kuwa POTUS; hapa kwetu mpiga mdomo mzuri kama jamaa yetu ambaye najua hajachangia hata 0.00000001% ya ajira binafsi anaitwa ana akili nyingi


Huko uingereza, Office of National Statistics iliripoti mwaka 2018 kwamba ajira katika sekta za umma imeshuka hadi 16% na kuishukuru sekta binafsi kuajiri takribani 84% ya Brits. Tukumbuke sekta binafsi ni akili binafsi (ninaziita akili nyingi) zilizoamua kuwekeza na kuajiri watu wengine; hapa kwetu mtu anayejua kupangilia maneno na matusi kwa watawala tunamuita mwenye akili nyingi


Hapa kwetu, badala ya akili nyingi (za hao tunaosifia wana akili kuzidi wengine) kutumika ku-manipulate mazingira na rasilimali zake kwa faida ya mtanzania, zinatumika kutukana, kudharau, kuona kila kitu kinachofanywa ni kibaya.


Nilidhani atakuja na mawazo mapya ya jinsi ya ku-exploit resources ambazo tunazo Tz; yeye anakuja na akili za kisheria za wale tulio ona hawafai kutuongoza(Waingereza, wajerumani); hapa nashindwa kumtofautisha na zile products tegemewa za elimu ya mkoloni(expected outputs of colonial education), ku-feed brain ya muafrika ili; aidha elimu aliyopata ashindwe kutumia rasilimali zake ama awe kinyume na wenzake. Nadhani akili nzuri ni ile inayotatua changamoto za mazingira yako, sio changamoto za mazingira mengine


Licha ya yote, namtakia afya njema na kumpa pole na maswahibu yaliyompata, japo akirudi abadilike na awe chachu ya maendeleo Tanzania; akili nyingi ziwe za msaada kwa wengine hasa zinazoendana na mazingira yetu..
Bwege tu wewe
 
Mleta mada una hoja nilisoma mahali kuwa nchi zote duniani zinazotimia mfumo wa elimu ya mwingereza wasomi wake wengi huwa hawawezi kujiajiri na kuanzisha private sector .Elimu Yake Ni ya kutengeneza white color employees siyo employers .Ndio maana wengi matajiri walioko private sector Ni watu ambao hawajameza Panadol nyingi za elimu ya mwingereza.Hawa tunaowaita wasomi Akina Lisu Ni white color law clerks waliozalizilishwa na elimu ya mwingereza.Hawawezi zalisha ajira mpya hao Ni kelele tu .Wanaishi kiujanja ujanja kwa kelele tu.Lakini ukimwambia wewe SI una akili zalisha ajira mpya hata hamsini tu hawezi.Anasukumia wengine ikiwemo serikali ndio ifanye .Yeye anabaki na suti Yake na microphone.Mleta mada umenigusa.Wasomi wafike mahali wazalishe ajira badala ya kuvaa suti na tai kubwa kubwa na kutiririka maneno matupu hewa ya kingereza kigumu cha malkia elizabeth Nikiri wazi Leo kuwa waarabu,wachaga na wahindi na wapemba ndio Wana akili nyingi Tanzania sababu Wana uwezo wa kutengeneza ajira nyingi binafsi.Ila kwa wasomi wetu ngozi nyeusi safari Bado n ndefu tujipime Kama kweli tuna akili au la na kipimo kiwe kuzalisha ajira
Hebu toa Lissu uweke JPM kwenye hoja yako!
Tatizo naona attacks zaidi kwa Lissu,huyo JPM ametoa ajira zipi kwa kofia ya elimu yake ya PhD?
 
Nilidhani atakuwa chachu ya kuwatafutia vijana ajira; 2/3 ya ajira za US citizens huko Marekani zinatokana na ajira binafsi, kwamba sekta zilizoanzishwa na watu wenye akili nyingi (investors) zinawapa chakula wengine; nadhani ndio maana wana mfululizo wa billionaires kuwa POTUS; hapa kwetu mpiga mdomo mzuri kama jamaa yetu ambaye najua hajachangia hata 0.00000001% ya ajira binafsi anaitwa ana akili nyingi


Huko uingereza, Office of National Statistics iliripoti mwaka 2018 kwamba ajira katika sekta za umma imeshuka hadi 16% na kuishukuru sekta binafsi kuajiri takribani 84% ya Brits. Tukumbuke sekta binafsi ni akili binafsi (ninaziita akili nyingi) zilizoamua kuwekeza na kuajiri watu wengine; hapa kwetu mtu anayejua kupangilia maneno na matusi kwa watawala tunamuita mwenye akili nyingi


Hapa kwetu, badala ya akili nyingi (za hao tunaosifia wana akili kuzidi wengine) kutumika ku-manipulate mazingira na rasilimali zake kwa faida ya mtanzania, zinatumika kutukana, kudharau, kuona kila kitu kinachofanywa ni kibaya.


Nilidhani atakuja na mawazo mapya ya jinsi ya ku-exploit resources ambazo tunazo Tz; yeye anakuja na akili za kisheria za wale tulio ona hawafai kutuongoza(Waingereza, wajerumani); hapa nashindwa kumtofautisha na zile products tegemewa za elimu ya mkoloni(expected outputs of colonial education), ku-feed brain ya muafrika ili; aidha elimu aliyopata ashindwe kutumia rasilimali zake ama awe kinyume na wenzake. Nadhani akili nzuri ni ile inayotatua changamoto za mazingira yako, sio changamoto za mazingira mengine


Licha ya yote, namtakia afya njema na kumpa pole na maswahibu yaliyompata, japo akirudi abadilike na awe chachu ya maendeleo Tanzania; akili nyingi ziwe za msaada kwa wengine hasa zinazoendana na mazingira yetu..
Mkuu panua ubongo wako ili uweze zaidi sio uwaze tu kwa kutumia tumbo lako,Duniani hapa kuna kitu kinaitwa mgawanyo wa madaraka,Kwenye dini tunafundishwa Mungu alimpa kila mtu kalama take,na kalama hizi kila moja inategemea nyingine ndo maana wakati wewe unaona ajira ya kuajiliwa unayotaka atengeneze Lissu ni muhimu zaidi,wengine hilo si muhimu kwao ,la muhimu kwao ni utawala wa sheria utakao wawezesha kufanya kazi zao kwa amani
 
Unajua kuficha ujinga huwa ni aina mojawapo ya busara, umetudhihirishia ujinga wako kwa kujitakia mwenyewe japo nadhani kwa kukosa ufahamu haukujua ya kuwa upupu uliomwaga hapo ni upumbavu usio kifani.
Unafahamu kilichompeleka ni matibabu? Serikali iliyojaa wasomi na resources na yenye wajibu wa kutafutia vijana ajira inashindwa unategemea Lissu ndiyo aifanyie kazi kama 'good Samaritan'? Yaani mtu mmoja kisa tu ameitwa akili nyingi basi abebe majukumu ambayo the whole fucking government wameyashindwa? Uko sawa kichwani kweli?
Wanao kukata hawakukati vizuri nlijua utaongeachamaana kumbe wewe na TL hamna tofauti
 
Ila kweli siasa niajira nandiyoinayo mlisha lisu ebuangalia anavyoenda hadi mahakamani kupeleka mashtaka amekosanini kama sio hela alafu ivi unaweza mshtaki mtoto kwa mamayake alie mzaa weunahisi utasikilizwa
Hapakazi tuuu msiturudishe nyuma
 
majibu yao ya mihemuko ndiyo yanaipa CCM credit kuendelea kutawala, wanakosa critical arguments
Kea kweli bila aibu we ndiyo huna kitu kichwani. Lissu afanye yalioishinda serikali na rasilimali zote hizo !!.
 
Lisu hana jipya ndugu yangu, nae ni mchumia tumbo tu,kelele zote za BBC ,VOA mara sijui kakutanana na nani kumbe ni kelele za debe tupu,ila akija atashangaa tu barabara nzuri,madaraja mazuri,Ndege mpya,reli mpya.Tunamkaribisha aje ashangae maendeleo yaliyopatikana katika muda mfupi
Akija itabid apitie terminal ll
 
Nilidhani atakuwa chachu ya kuwatafutia vijana ajira; 2/3 ya ajira za US citizens huko Marekani zinatokana na ajira binafsi, kwamba sekta zilizoanzishwa na watu wenye akili nyingi (investors) zinawapa chakula wengine; nadhani ndio maana wana mfululizo wa billionaires kuwa POTUS; hapa kwetu mpiga mdomo mzuri kama jamaa yetu ambaye najua hajachangia hata 0.00000001% ya ajira binafsi anaitwa ana akili nyingi


Huko uingereza, Office of National Statistics iliripoti mwaka 2018 kwamba ajira katika sekta za umma imeshuka hadi 16% na kuishukuru sekta binafsi kuajiri takribani 84% ya Brits. Tukumbuke sekta binafsi ni akili binafsi (ninaziita akili nyingi) zilizoamua kuwekeza na kuajiri watu wengine; hapa kwetu mtu anayejua kupangilia maneno na matusi kwa watawala tunamuita mwenye akili nyingi


Hapa kwetu, badala ya akili nyingi (za hao tunaosifia wana akili kuzidi wengine) kutumika ku-manipulate mazingira na rasilimali zake kwa faida ya mtanzania, zinatumika kutukana, kudharau, kuona kila kitu kinachofanywa ni kibaya.


Nilidhani atakuja na mawazo mapya ya jinsi ya ku-exploit resources ambazo tunazo Tz; yeye anakuja na akili za kisheria za wale tulio ona hawafai kutuongoza(Waingereza, wajerumani); hapa nashindwa kumtofautisha na zile products tegemewa za elimu ya mkoloni(expected outputs of colonial education), ku-feed brain ya muafrika ili; aidha elimu aliyopata ashindwe kutumia rasilimali zake ama awe kinyume na wenzake. Nadhani akili nzuri ni ile inayotatua changamoto za mazingira yako, sio changamoto za mazingira mengine


Licha ya yote, namtakia afya njema na kumpa pole na maswahibu yaliyompata, japo akirudi abadilike na awe chachu ya maendeleo Tanzania; akili nyingi ziwe za msaada kwa wengine hasa zinazoendana na mazingira yetu..
Wewe umeisaidiaje nchi yako kuhusu ajira toa boriti kwenye jicho lako kwanza
 
Hilo muulize mama yako kwanza then urudi hapa nadhani akili zitakuwa zimekukaa sawa japo kwa asilimia ndogo, yaani alikatwaje mpaka ukatokea.
Wanao kukata hawakukati vizuri nlijua utaongeachamaana kumbe wewe na TL hamna tofauti
 
nalinganisha akili yangu ndogo na akili yako; Uzi haujagusia popote kwamba akatafutie waTanzania ajira ughaibuni, bali huyu jamaa amekuwa popular for nothing; naweza kusema angekuwa amefanya jambo 'tangible' linalogusa uhai wa kiuchumi wa Taifa lenye takriban watu mil. 60 tungemsifu; what i can see are just 'legal frog noises' sorry to say, that can take us to nowhere...
He has played his part kwenye law na kwenye siasa, usijifanye kipofu.
Kila mtu huwa na majukumu yake, yeye yale yake ameyafanya na impact inaonekana na hata kuwa topic hapa ni moja ya uthibitisho wa hilo.
Kaifungua macho serikali kwenye upuuzi inaoufanya wa kuingia mikataba kijinga na kutaka kulazimisha kuivunja bila ya kufuata taratibu, hiyo ndiyo profession yake na anaitendea haki sana.
Hao majitu wanaojua kuua,kuteka na kutesa labda ndiyo waulizwe kama hizo ndiyo priorities zao hapo kwenye throne.
 
Hebu toa Lissu uweke JPM kwenye hoja yako!
Tatizo naona attacks zaidi kwa Lissu,huyo JPM ametoa ajira zipi kwa kofia ya elimu yake ya PhD?
Huyo poyoyo mleta mada uwezo wa kufikiri hilo swali wakati anaandi thread yake hakuwa nao, haposasa ndiyo ataanza kuwaza 'hivi kwa Jiwe tunajibu vipi?'
 
Ila kweli siasa niajira nandiyoinayo mlisha lisu ebuangalia anavyoenda hadi mahakamani kupeleka mashtaka amekosanini kama sio hela alafu ivi unaweza mshtaki mtoto kwa mamayake alie mzaa weunahisi utasikilizwa
Hapakazi tuuu msiturudishe nyuma
Ndio maana Magu amekomaa kwenye siasa miaka 30 inakaribia!Siasa inalipa!
 
Back
Top Bottom