Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Huyo naye anatuzuga tu!! Mkulima gani na kofia ya chama na truck la serikali? si angepiga hata jeans tu na shati la kazi? au angevaa cover-all kabisa....naona alitaka picha ya kuuza sura....
Hana ishu
Badala ya kulima anaokota majani mawili!Hii thread imenivunja mbavu sina hamu. Duh! mwacheni mzee na "Kilimo Kwanza".
Jembe kalisahau home, mbona hana jembe hapo?Kweli huyu ni mtoto wa mkulima, hajalisahau jembe bado.
Hii picha itolewe mabango makubwa kama yale ya Jk af wasambaze nchi nzima itawasaidia kuhimiza kilimo kwanza