Kanyigoboy
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 529
- 1,316
Sema ujampenda tu full stop
Hakuna pahala hatajuta..!! Huyu ana hili na yule ana lile, na yeye mweyewe ana hili kama siyo lileKama roho inakataa achana nae usijejutia mbelen
😂huu ndo mtaa wangu Mkuu.....kuhusu kuolewa atambue kuwa ndoa ni amani si uwanja wa vitaTo yeye
We katoto hadi huku unafika. Mmh umezidi upana.
Naona unampa wosia shoga yako.
Sema tunaooa ni wachache mwambie atumie fulsa kisha amzalie kamoja. Atakatunza lazima.
Hyo anataka mtoto maana umri umesogea, anadata na viwanja kwsbb hana chakuhudumia mke anajitunza mwenyewe anataka bond ya mtoto awe busy kiasi.
Pili huwenda wenzake (rfk) zake wote wana watoto na wengine wanasomesha yeye amegandisha mkuyenge hauna matokeo anakula na kupupu mtoto hakuna wala nn. Mamaake mwenyewe huwenda anamwuliza vp mbona hauoi anajibu mama usowe na presha hivi karibuno, bado vp hata mtoto na umri umesogea anajibu mungu atajalia hivi karibu usiwe na wasiwasi mjukuu anakuja.
Mwambie akubali asiache nafasi, waoaji tumebakia wa4
Mimi DeepPond mzabzab na bwanaake tu
VizuriHakuna pahala hatajuta..!! Huyu ana hili na yule ana lile
Mteme bidada halafu subiri subiri ufikishe 30+ uje kwenye jukwaa la "LOVE CONNECT" wapo akina rikiboy, mzabzab na Extrovert watakusaidiaHabari za wakati huu wakuu
Niende moja kwa moja kwenye point, mimi ni binti wa miaka 28 nipo kitengo flan na mpenz wangu ana miaka 35 naye hivyo hivyo yupo kitengo flan. Sasa huyu mpenzi wangu nipo nae miaka mitatu sasa yeye alishanitambulisha kwao i mean ndugu zake wananifahamu. Mimi kwetu anamfahamu dada yangu tu,
Kiufupi nimeshindwa kumtambulisha kwani bado namtafakari tabia zake. Kwani ni mtu anayependa starehe sana (Hii labda inatokana na nature ya kazi yake) kiukweli ninavyomwangalia sioni kama ni mtu anayeweza kubeba majukumu kama baba wa familia, hii imepelekea mimi kusita sana kuolewa naye japo nampenda.
Wakubwa imefikia sehemu migogoro imekuwa mikubwa anataka anioe, nikamtambulishe nyumbani au nimzalie mtoto au tuachane. Nipo njia panda nina wiki sasa hatuongei nashindwa niamue nini nipeni ushauri wenu juu ya hili.
Ahsanteni
Aolewe Akale Raha Duniani😂huu ndo mtaa wangu Mkuu.....kuhusu kuolewa atambue kuwa ndoa ni amani si uwanja wa vita
Hata mimi nimeshangaa kwa miaka 3 anamchakaza na bado anaendelea kumchakaza hapo imekosekana sherehe tu na vyeti tu iwe ndoa kamili.Miaka mitatu pika pakua, iyo ni ndoa kabisa ni mchele tu umekosekana
Jaaamaanii😂huu ndo mtaa wangu Mkuu.....kuhusu kuolewa atambue kuwa ndoa ni amani si uwanja wa vita
😂😂😂😂 wee,sema kweliAolewe Akale Raha Duniani
Aimbe Namnyonyesha, Namlaza Mapajani
Olewa kwanza. Mengine tutasuluhisha mkishakuwa ndani ya ndoa.Habari za wakati huu wakuu
Niende moja kwa moja kwenye point, mimi ni binti wa miaka 28 nipo kitengo flan na mpenz wangu ana miaka 35 naye hivyo hivyo yupo kitengo flan. Sasa huyu mpenzi wangu nipo nae miaka mitatu sasa yeye alishanitambulisha kwao i mean ndugu zake wananifahamu. Mimi kwetu anamfahamu dada yangu tu,
Kiufupi nimeshindwa kumtambulisha kwani bado namtafakari tabia zake. Kwani ni mtu anayependa starehe sana (Hii labda inatokana na nature ya kazi yake) kiukweli ninavyomwangalia sioni kama ni mtu anayeweza kubeba majukumu kama baba wa familia, hii imepelekea mimi kusita sana kuolewa naye japo nampenda.
Wakubwa imefikia sehemu migogoro imekuwa mikubwa anataka anioe, nikamtambulishe nyumbani au nimzalie mtoto au tuachane. Nipo njia panda nina wiki sasa hatuongei nashindwa niamue nini nipeni ushauri wenu juu ya hili.
Ahsanteni
Huyo Hachomoi Keshakwama Yaani😂😂😂😂 wee,sema kweli
Fanya kosa la kukosea kuchagua mpenzi/mchumba...., usije ukafanya kosa la kukosea kuchagua mumeHabari za wakati huu wakuu
Niende moja kwa moja kwenye point, mimi ni binti wa miaka 28 nipo kitengo flan na mpenz wangu ana miaka 35 naye hivyo hivyo yupo kitengo flan. Sasa huyu mpenzi wangu nipo nae miaka mitatu sasa yeye alishanitambulisha kwao i mean ndugu zake wananifahamu. Mimi kwetu anamfahamu dada yangu tu,
Kiufupi nimeshindwa kumtambulisha kwani bado namtafakari tabia zake. Kwani ni mtu anayependa starehe sana (Hii labda inatokana na nature ya kazi yake) kiukweli ninavyomwangalia sioni kama ni mtu anayeweza kubeba majukumu kama baba wa familia, hii imepelekea mimi kusita sana kuolewa naye japo nampenda.
Wakubwa imefikia sehemu migogoro imekuwa mikubwa anataka anioe, nikamtambulishe nyumbani au nimzalie mtoto au tuachane. Nipo njia panda nina wiki sasa hatuongei nashindwa niamue nini nipeni ushauri wenu juu ya hili.
Ahsanteni
Do you love me? Tell me u ar read nikuoeJaaamaanii
acha kuzini naye ikiwa hutaki kuolewa naye.Habari za wakati huu wakuu
Niende moja kwa moja kwenye point, mimi ni binti wa miaka 28 nipo kitengo flan na mpenz wangu ana miaka 35 naye hivyo hivyo yupo kitengo flan. Sasa huyu mpenzi wangu nipo nae miaka mitatu sasa yeye alishanitambulisha kwao i mean ndugu zake wananifahamu. Mimi kwetu anamfahamu dada yangu tu,
Kiufupi nimeshindwa kumtambulisha kwani bado namtafakari tabia zake. Kwani ni mtu anayependa starehe sana (Hii labda inatokana na nature ya kazi yake) kiukweli ninavyomwangalia sioni kama ni mtu anayeweza kubeba majukumu kama baba wa familia, hii imepelekea mimi kusita sana kuolewa naye japo nampenda.
Wakubwa imefikia sehemu migogoro imekuwa mikubwa anataka anioe, nikamtambulishe nyumbani au nimzalie mtoto au tuachane. Nipo njia panda nina wiki sasa hatuongei nashindwa niamue nini nipeni ushauri wenu juu ya hili.
Ahsanteni
Hahaha ni wanazengo tu hawajapiga cheka na watt, haya mambo tunayakuza sana..Miaka mitatu pika pakua, iyo ni ndoa kabisa ni mchele tu umekosekana
Kwa hiyo ndiyo umeona uje unianike huku? Kama umeona mimi siwezi kuwa baba wa familia si ungeniambia tu tukaachana vizuri? Kwa kweli sikutegemea.Habari za wakati huu wakuu
Niende moja kwa moja kwenye point, mimi ni binti wa miaka 28 nipo kitengo flan na mpenz wangu ana miaka 35 naye hivyo hivyo yupo kitengo flan. Sasa huyu mpenzi wangu nipo nae miaka mitatu sasa yeye alishanitambulisha kwao i mean ndugu zake wananifahamu. Mimi kwetu anamfahamu dada yangu tu,
Kiufupi nimeshindwa kumtambulisha kwani bado namtafakari tabia zake. Kwani ni mtu anayependa starehe sana (Hii labda inatokana na nature ya kazi yake) kiukweli ninavyomwangalia sioni kama ni mtu anayeweza kubeba majukumu kama baba wa familia, hii imepelekea mimi kusita sana kuolewa naye japo nampenda.
Wakubwa imefikia sehemu migogoro imekuwa mikubwa anataka anioe, nikamtambulishe nyumbani au nimzalie mtoto au tuachane. Nipo njia panda nina wiki sasa hatuongei nashindwa niamue nini nipeni ushauri wenu juu ya hili.
Ahsanteni