Analazimisha kunioa

Analazimisha kunioa

Sasa Mkuu Baadaye Utakuja Tena Thread Kuwa Hujaolewa Wakati Huyo Unampenda
Majukumu Mtajua Huko Huko Ukiolewa Ndoa Ngumu Tu Ndiyo Asili Yake


Mchagua Nazi, Huchagua Koroma
Mbaazi Ukikosa Maua, Husingizia Jua



Olewa Uzae Haraka Ule Raha Duniani
 
To yeye
We katoto hadi huku unafika. Mmh umezidi upana.
Naona unampa wosia shoga yako.
Sema tunaooa ni wachache mwambie atumie fulsa kisha amzalie kamoja. Atakatunza lazima.
Hyo anataka mtoto maana umri umesogea, anadata na viwanja kwsbb hana chakuhudumia mke anajitunza mwenyewe anataka bond ya mtoto awe busy kiasi.
Pili huwenda wenzake (rfk) zake wote wana watoto na wengine wanasomesha yeye amegandisha mkuyenge hauna matokeo anakula na kupupu mtoto hakuna wala nn. Mamaake mwenyewe huwenda anamwuliza vp mbona hauoi anajibu mama usowe na presha hivi karibuno, bado vp hata mtoto na umri umesogea anajibu mungu atajalia hivi karibu usiwe na wasiwasi mjukuu anakuja.
Mwambie akubali asiache nafasi, waoaji tumebakia wa4
Mimi DeepPond mzabzab na bwanaake tu
😂huu ndo mtaa wangu Mkuu.....kuhusu kuolewa atambue kuwa ndoa ni amani si uwanja wa vita
 
Habari za wakati huu wakuu
Niende moja kwa moja kwenye point, mimi ni binti wa miaka 28 nipo kitengo flan na mpenz wangu ana miaka 35 naye hivyo hivyo yupo kitengo flan. Sasa huyu mpenzi wangu nipo nae miaka mitatu sasa yeye alishanitambulisha kwao i mean ndugu zake wananifahamu. Mimi kwetu anamfahamu dada yangu tu,

Kiufupi nimeshindwa kumtambulisha kwani bado namtafakari tabia zake. Kwani ni mtu anayependa starehe sana (Hii labda inatokana na nature ya kazi yake) kiukweli ninavyomwangalia sioni kama ni mtu anayeweza kubeba majukumu kama baba wa familia, hii imepelekea mimi kusita sana kuolewa naye japo nampenda.

Wakubwa imefikia sehemu migogoro imekuwa mikubwa anataka anioe, nikamtambulishe nyumbani au nimzalie mtoto au tuachane. Nipo njia panda nina wiki sasa hatuongei nashindwa niamue nini nipeni ushauri wenu juu ya hili.

Ahsanteni
Mteme bidada halafu subiri subiri ufikishe 30+ uje kwenye jukwaa la "LOVE CONNECT" wapo akina rikiboy, mzabzab na Extrovert watakusaidia
 
Miaka mitatu pika pakua, iyo ni ndoa kabisa ni mchele tu umekosekana
Hata mimi nimeshangaa kwa miaka 3 anamchakaza na bado anaendelea kumchakaza hapo imekosekana sherehe tu na vyeti tu iwe ndoa kamili.
Yaani ni sawa sawa anakataa kona ila anakubali penati au ni sawasawa mtu akwambie mimi sipendi kula nguruwe ila mchuzi wake nakunywa.
 
Habari za wakati huu wakuu
Niende moja kwa moja kwenye point, mimi ni binti wa miaka 28 nipo kitengo flan na mpenz wangu ana miaka 35 naye hivyo hivyo yupo kitengo flan. Sasa huyu mpenzi wangu nipo nae miaka mitatu sasa yeye alishanitambulisha kwao i mean ndugu zake wananifahamu. Mimi kwetu anamfahamu dada yangu tu,

Kiufupi nimeshindwa kumtambulisha kwani bado namtafakari tabia zake. Kwani ni mtu anayependa starehe sana (Hii labda inatokana na nature ya kazi yake) kiukweli ninavyomwangalia sioni kama ni mtu anayeweza kubeba majukumu kama baba wa familia, hii imepelekea mimi kusita sana kuolewa naye japo nampenda.

Wakubwa imefikia sehemu migogoro imekuwa mikubwa anataka anioe, nikamtambulishe nyumbani au nimzalie mtoto au tuachane. Nipo njia panda nina wiki sasa hatuongei nashindwa niamue nini nipeni ushauri wenu juu ya hili.

Ahsanteni
Olewa kwanza. Mengine tutasuluhisha mkishakuwa ndani ya ndoa.
 
Habari za wakati huu wakuu
Niende moja kwa moja kwenye point, mimi ni binti wa miaka 28 nipo kitengo flan na mpenz wangu ana miaka 35 naye hivyo hivyo yupo kitengo flan. Sasa huyu mpenzi wangu nipo nae miaka mitatu sasa yeye alishanitambulisha kwao i mean ndugu zake wananifahamu. Mimi kwetu anamfahamu dada yangu tu,

Kiufupi nimeshindwa kumtambulisha kwani bado namtafakari tabia zake. Kwani ni mtu anayependa starehe sana (Hii labda inatokana na nature ya kazi yake) kiukweli ninavyomwangalia sioni kama ni mtu anayeweza kubeba majukumu kama baba wa familia, hii imepelekea mimi kusita sana kuolewa naye japo nampenda.

Wakubwa imefikia sehemu migogoro imekuwa mikubwa anataka anioe, nikamtambulishe nyumbani au nimzalie mtoto au tuachane. Nipo njia panda nina wiki sasa hatuongei nashindwa niamue nini nipeni ushauri wenu juu ya hili.

Ahsanteni
Fanya kosa la kukosea kuchagua mpenzi/mchumba...., usije ukafanya kosa la kukosea kuchagua mume

Utanikumbuka
 
Habari za wakati huu wakuu
Niende moja kwa moja kwenye point, mimi ni binti wa miaka 28 nipo kitengo flan na mpenz wangu ana miaka 35 naye hivyo hivyo yupo kitengo flan. Sasa huyu mpenzi wangu nipo nae miaka mitatu sasa yeye alishanitambulisha kwao i mean ndugu zake wananifahamu. Mimi kwetu anamfahamu dada yangu tu,

Kiufupi nimeshindwa kumtambulisha kwani bado namtafakari tabia zake. Kwani ni mtu anayependa starehe sana (Hii labda inatokana na nature ya kazi yake) kiukweli ninavyomwangalia sioni kama ni mtu anayeweza kubeba majukumu kama baba wa familia, hii imepelekea mimi kusita sana kuolewa naye japo nampenda.

Wakubwa imefikia sehemu migogoro imekuwa mikubwa anataka anioe, nikamtambulishe nyumbani au nimzalie mtoto au tuachane. Nipo njia panda nina wiki sasa hatuongei nashindwa niamue nini nipeni ushauri wenu juu ya hili.

Ahsanteni
acha kuzini naye ikiwa hutaki kuolewa naye.
 
Habari za wakati huu wakuu
Niende moja kwa moja kwenye point, mimi ni binti wa miaka 28 nipo kitengo flan na mpenz wangu ana miaka 35 naye hivyo hivyo yupo kitengo flan. Sasa huyu mpenzi wangu nipo nae miaka mitatu sasa yeye alishanitambulisha kwao i mean ndugu zake wananifahamu. Mimi kwetu anamfahamu dada yangu tu,

Kiufupi nimeshindwa kumtambulisha kwani bado namtafakari tabia zake. Kwani ni mtu anayependa starehe sana (Hii labda inatokana na nature ya kazi yake) kiukweli ninavyomwangalia sioni kama ni mtu anayeweza kubeba majukumu kama baba wa familia, hii imepelekea mimi kusita sana kuolewa naye japo nampenda.

Wakubwa imefikia sehemu migogoro imekuwa mikubwa anataka anioe, nikamtambulishe nyumbani au nimzalie mtoto au tuachane. Nipo njia panda nina wiki sasa hatuongei nashindwa niamue nini nipeni ushauri wenu juu ya hili.

Ahsanteni
Kwa hiyo ndiyo umeona uje unianike huku? Kama umeona mimi siwezi kuwa baba wa familia si ungeniambia tu tukaachana vizuri? Kwa kweli sikutegemea.
Nikutakie maisha mema.
 
Back
Top Bottom