Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,361
- 91,912
😂😂😂😂🙌Huyo ikibidi ntamdedisha tu. Sio kikwazo kwangu kabisa kwenye ndoa yetu changa. Nakupenda sana mume wangu mtarajiwa. Mahari ntajitolea
😂😂😂😂🙌Huyo ikibidi ntamdedisha tu. Sio kikwazo kwangu kabisa kwenye ndoa yetu changa. Nakupenda sana mume wangu mtarajiwa. Mahari ntajitolea
Nakazia mkuuUtajuaje kama atakuwa baba bora wa familia ikiwa humpi nafasi ya kuwa mumeo.
Majukumu hubadili mtindo wa maisha, akishakuwa mume itamlazimu kubadili muenendo wa maisha yake. Sasa hivi anafanya starehe sababu bado ni bachelor.
Kama unampenda muweke chini umueleze hofu yako juu ya mwenendo wa maisha yake.
Katika swala la mapenzi ni bora kumpata anaekupenda na wewe unampenda kuliko kudengua sasa hivi uje kuangukia kwa baradhuli moja litakalokukoleza ulipende halafu likupiga matukio mpaka uwe chizi.
Bora ya huyo anaependa starehe unaemjua tayari kwa miaka 3 kuliko kuachana nae upate actor anaejifanya mlokole ukubali akuoe halafu uje kugundua ni mchepukaji.
Any instinct about a man is always trueKama roho inakataa achana nae usijejutia mbelen
Nimeipenda hiinyway, swali likihitaji ujibu "YES" au "NO" afu ukawa hujui ujibu nini, basi jibu ni "NO" a big NOO
FactUtajuaje kama atakuwa baba bora wa familia ikiwa humpi nafasi ya kuwa mume kwanza?
Majukumu hubadili mtindo wa maisha, akishakuwa mume itamlazimu kubadili mwenendo wa maisha yake. Sasa hivi anafanya starehe sababu bado ni bachelor.
Kama unampenda muweke chini umueleze hofu yako juu ya mwenendo wa maisha yake uone kama hatobadilika.
Katika swala la mapenzi ni bora kumpata anaekupenda na wewe unampenda kuliko kudengua sasa hivi uje kuangukia kwa baradhuli moja litakalokukoleza ulipende halafu likupiga matukio mpaka uwe chizi.
Bora ya huyo anaependa starehe unaemjua tayari kwa miaka 3 kuliko kuachana nae upate actor anaejifanya mlokole ukubali akuoe halafu uje kugundua ni mchepukaji.
Moja,weye siyo binti.Mbili,kama hautaki kuolewa,acha kuutangazia umma upunyufu wako.Habari za wakati huu wakuu
Niende moja kwa moja kwenye point, mimi ni binti wa miaka 28 nipo kitengo flan na mpenz wangu ana miaka 35 naye hivyo hivyo yupo kitengo flan. Sasa huyu mpenzi wangu nipo nae miaka mitatu sasa yeye alishanitambulisha kwao i mean ndugu zake wananifahamu. Mimi kwetu anamfahamu dada yangu tu,
Kiufupi nimeshindwa kumtambulisha kwani bado namtafakari tabia zake. Kwani ni mtu anayependa starehe sana (Hii labda inatokana na nature ya kazi yake) kiukweli ninavyomwangalia sioni kama ni mtu anayeweza kubeba majukumu kama baba wa familia, hii imepelekea mimi kusita sana kuolewa naye japo nampenda.
Wakubwa imefikia sehemu migogoro imekuwa mikubwa anataka anioe, nikamtambulishe nyumbani au nimzalie mtoto au tuachane. Nipo njia panda nina wiki sasa hatuongei nashindwa niamue nini nipeni ushauri wenu juu ya hili.
Ahsanteni
We Sema tu Kua siyo HB unasubili HB aje akuoe. Maana ndo akili zenu zilivyo
kuna umri ukifika ujinga tunaweka pembeni.Reporter wa kujitegemea 😎!