tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,864
- 3,851
Kwa nini hakukaa pembeni kupisha maovu ya wafalme aliowatumikia. Analalamika leo kwa maamuzi ya pamoja aliyofanya na wakubwa wake. Anapata waki usafi wa kujiona mzalendo mfia nchi. Kama ni ufisadi walipiga wote. Kama ni kesi waijibu wote.
Ushahidi unakwama kwa wafalme waliopita. Sasa ni kulazimishwa kutubu hata kama hauna hatia na ushahidi hautoshi.
Kumtesa mtu, kisha kumlazimisha kuomba msamaha ni zaidi ya ukatili.
Tutaendelea kumuombea aondoke kwa amani.
Ushahidi unakwama kwa wafalme waliopita. Sasa ni kulazimishwa kutubu hata kama hauna hatia na ushahidi hautoshi.
Kumtesa mtu, kisha kumlazimisha kuomba msamaha ni zaidi ya ukatili.
Tutaendelea kumuombea aondoke kwa amani.