Donasian kabengo
JF-Expert Member
- Jul 29, 2016
- 792
- 405
Inawezekana upo ndotoniWengi hushangaa wakisikia mtu asiye na kazi nchi zilizoendelea kuwa hulipwa posho kila mwezi na serikali
Siri yake ndogo tu ni kuwa miradi mikubwa ya maendeleo mila pesa nyingi kama mabarabara, hospitali, Shule, njia za reli, umeme, maji nk yote ilishaisha kujengwa. Hivyo serikali zingine zikija hazina cha kufanya hivyo kuwa na pesa nyingi zisizo na kazi, hivyo kufanya hicho kiasi cha ziada kitumike kuongeza mishahara na marupurupu ya wafanyakazi na kuwalipa wasio na kazi.
Rais Magufuli anachofanya mbeleni kitakuwa na faida kubwa kwani bajeti ya maendeleo yaweza kupewa pesa kidogo sababu hakuna cha kufanya hivyo excess kwenda kwa wafanyakazi na wasio na ajira.
Kama Taifa kama kila Raisi angejikita miradi ya maendeleo kama Magufuli tungekuwa na pesa sasa hivi nyingi zisizo na kazi.