Anakasirika simpost mitandao ya kijamii.

Anakasirika simpost mitandao ya kijamii.

MI NAMPOST HALAFU NAMUACHA ATASHTUK AHAYUPO PEKE YAKE NA WASIPOSTIWA NDIO WANABEBA NAFASI YAKE
 
MI NILIYE NA MALENGO NAYE AKIANZA HABARI ZA NIMPOST NTABADILI GIA......HUU UTANDAWAZI UNAHARIBU UBONGO HALISI WA UHALISIA
 
Mpost huku ukiandika'kwa K yako ilivyo tait/rojorojo sikuachi kamwe bibie'.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ni vyema kuwa na tabia ya kupost picha za girls hata wakiwa rafiki zako , kama kwenye birth day au unaweza post kumbless mtu chochote....hi itakuondolea doubt kwamba ukipost jinsia tofauti watu wasi judge sana!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo mkuu unataka tukupe ushauri katika hilo?like seriously,utakuwa unao zaidi ya huyo,yeye yupo na wewe tu,ni hayo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom