Ongezea tangazo lako nyama kidogo
Asante nawe kwa ufafanuzi hujazungumzia habari ya kula kulala maana inaweza ikatokea mtu alie nje na hapo kibadaAsante mdau:Msichana mwenye ujuzi wa Saloon ya kike-kupamba,kusuka,hair treatment na huduma zote za saloon ya kike..Salon ipo Kigamboni Kibada...awe tayar kufanya kazi kwa uaminifu na umakini tusogeze gurudumu la maisha
Hahahaha...Mtafute mdada flan ivi yupo humu anaitwa Beira
Hahahaha...
Beira kapata kazi bhana
Ya kuchunga/kukatia majani ng'ombe wa maziwaYa kukamua maziwa au...?
Ya kuchunga/kukatia majani ng'ombe wa maziwa
Vipi kwema lakini mkuuHahahahaaa. Lol.
Vipi kwema lakini mkuu
Mimi nimeamka/tumeamka salama kabisa mkuuYes, nashkuru nimeamka salama mkuu. Sjui nawe na nyumbani kwa jumla...?
Mimi nimeamka/tumeamka salama kabisa mkuu
AmenThat's great buddy. Nice to hear that mkuu. Have a lovely day and stay blessed mkuu.
Akikubali nitag.Yupo mkaka, kama utaitaji nambie nikupe Mawasiliano yake
standOfisi ipo kibada ipi, stend shangwe au mwasonga!!??
Sawa, ntawajulisha wahusikastand