Anajifannya hataki kumbe anataka

Yani mademu huwa wanauzi sana, unamwomba fresh mnakubaliana. Mnapanga appointment mnakwenda kwa lengo moja la kudo. Unachukua hoteli mnaingia ndani ana anza kusumbua eti hataki tena hajajiandaa!!! Anakuja kupa baaaaaaaaaaaaaaaaaadae!! Kwanini lakini? Tukifika si utoe tu?
ndio matatizo ya kuchukua vitoto vya shule hayo, kachukue watu wazima uone kama utasumbuliwa tena ndio kwanza unaimizwa upige mashine haraka hawai majukumu mengine ya kitaifa
 
Actually My Baby Boy is still very young, he doesn't know anything so am starting point A............... Missing you Lover Boy!!
nihitaji session na wewe inspectee.
naona unataka kuharibu maslahi ya inspector hapa. na hii session itahusika na inspection among other things!
 
nihitaji session na wewe inspectee.
naona unataka kuharibu maslahi ya inspector hapa. na hii session itahusika na inspection among other things!
Ouppsssss...............Sweetheart!! mbona unantisha? Nani alinshikia zamu wakati sipo??

Inspection inapaswa kuwa mara ngapi kwa wiki?
 
Dalili zaonyesha amewabaka wengi sana maana kama akichukua hotel anataka apewe akikataliwa Inakuwaje atueleze hapo tujue kama habaki
 
ndivyo walivyo umbwa hao,lazima waweke kapozi kidogo halafu akija kukubali utapenda mwenyewe.:eyeroll1::eyeroll1:
Du hvi ni lazima ukorofishe kwenye siasa tu ndio upewe adhabu
huyu jamaa mbona anatukana mama yake ,dada,shangazi zake hadharani ....!ana akaili timamu kweli!
 
Inawezekana hakukucheki freshi wakati unamtongoza, so mnapo fika chumbani kukucheki vizuri ana sema daymn , mbona jamaa ni kama a zombie, basi ana kunyima.
Pia inawezekana mbaka mna fika chumbani, ile mouth wash ulio sukutua imesha kwisha nguvu ,matokeo yake una bad breath ,basi demu anaona dah hapa ni hapakalili.

Sababu nyingine inawezekana wakati unamtongoza ulikua so romantic demu aka kuzimia kwa ,hilo ila kwakua umeshaona umeshampata hadi kumpeleka chumbani , basi ukajioneysha uhalisia wako kuwa hauna cha uromantic wowote , wewe unacho taka ni kum sugua tuu, basi demu akatoa nje , ndipo ulipo anza tena kua romantic na ndio demu akalegea .
 
Yani mademu huwa wanauzi sana, unamwomba fresh mnakubaliana. Mnapanga appointment mnakwenda kwa lengo moja la kudo. Unachukua hoteli mnaingia ndani ana anza kusumbua eti hataki tena hajajiandaa!!! Anakuja kupa baaaaaaaaaaaaaaaaaadae!! Kwanini lakini? Tukifika si utoe tu?

Labda ndio wanayoita mapozi mkuu!
 
Yani mademu huwa wanauzi sana, unamwomba fresh mnakubaliana. Mnapanga appointment mnakwenda kwa lengo moja la kudo. Unachukua hoteli mnaingia ndani ana anza kusumbua eti hataki tena hajajiandaa!!! Anakuja kupa baaaaaaaaaaaaaaaaaadae!! Kwanini lakini? Tukifika si utoe tu?

sasa we unafika hoteli kikwapa kinanuka eti unatembea kwa miguu na jua lote na bongo halafu uje unipangusie jasho lako! mweeeee!!!!!! tunawatreat kisaikolojia babuu weee! nakusumbua kwanza hadi jasho lako likukaukie mwenyewee! Loo! unatoka guest mwili woote unanuka jasho na buzi lenyewe unakuta hata jipya hana!
 
kila nikisoma mada zako nakuona jinsi ulivyo na matatizo,jaribu kwanza kutoa boriti jichoni pako then utatoa banzi jichoni kwa mwenzio!
 
sasa we unafika hoteli kikwapa kinanuka eti unatembea kwa miguu na jua lote na bongo halafu uje unipangusie jasho lako! mweeeee!!!!!! tunawatreat kisaikolojia babuu weee! nakusumbua kwanza hadi jasho lako likukaukie mwenyewee! Loo! unatoka guest mwili woote unanuka jasho na buzi lenyewe unakuta hata jipya hana!

jamani haya majasho anatoaga mwanaume tu,
mwanamke anatoa nini?
 
Back
Top Bottom