Waambie ukweli kwanzaTumwambie ukwel au tumuache kwanza?
Teh teh teh tena ofisini,huku mvua zinanyesha.Atabakwa mtu muda si mrefu humu.
Ila JF hapana mm n mjumbe tu tena WA kike I'd isiwachanganyeAtabakwa mtu muda si mrefu humu.
Unajua mshahara wa bank teller mwenye degree yake?Hizo kazi bora mueke mkeo.....vinginevyo mshahara usiwe chini ya laki 5 tano [tukutafutie cashier level ya diploma]
Mke wake anaofisi nyingnHizo kazi bora mueke mkeo.....vinginevyo mshahara usiwe chini ya laki 5 tano [tukutafutie cashier level ya diploma]
Asante naku pmNakupa mmoja ambae anafanya hiyo biashara ana ndugu yake anamuachaga dukani kwake amsaidie
Namba nilizo nazo ni za huyu mdada ambae (ni mteja wangu) huwa nikipeleka mzigo dukani kwake namkuta mdada mwingine shost ake anamsaidia kuuza.
Ni mzoefu na anajua,kama uko serious njoo.pm nikupe namba muelewane.
Hpna mkuu...lakin Shania kma inavuka 1mlUnajua mshahara wa bank teller mwenye degree yake?