AGROPRODUCT
JF-Expert Member
- Apr 2, 2023
- 242
- 749
Husika na kichwa Cha habari hapo Juu, anahitajika Mdada mwenye Uzoefu na Kazi za Microfinance.
Sifa awe na Elimu Diploma ya Finance, Business Administration or Marketing. Awe na uwezo wa kufanya kazi bila kuhitaji kusimamia, Awe na uwezo wa Kutumia computer programm eg Excell , access, or other programm.
Awe tayari kuishi sehemu yoyote mkoa wa Manyara na Dodoma.
Awe na uzoefu wa kuingiliana na watu mbalimbali.
Mwenye sifa hizo naomba anitafute PM.
Sifa awe na Elimu Diploma ya Finance, Business Administration or Marketing. Awe na uwezo wa kufanya kazi bila kuhitaji kusimamia, Awe na uwezo wa Kutumia computer programm eg Excell , access, or other programm.
Awe tayari kuishi sehemu yoyote mkoa wa Manyara na Dodoma.
Awe na uzoefu wa kuingiliana na watu mbalimbali.
Mwenye sifa hizo naomba anitafute PM.