winchester
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 225
- 193
Habari,
Nahitaji mtu anayeweza kupika chakula kwa ajili ya mgahawa kama wali, pilau, ugali ndizi na vitafunio kama andazi, chapati na vitafunio vingine.
Pia anahitajika mkaangaji wa chips.
Pia kama mtu atahitaji naweza kumkodisha sehemu ya kupika chips au chakula, yeye akaja tu na viazi na kuanza kazi vifaa vyote atatumia vilivyopo . Eneo la biashara ni kubwa kuna sehemu ya bar , pia tunaonyesha mpira na kuna jiko pia.
Eneo ni kinondoni B Karibu na open university. Aliyetayari naomba anitafute kwa namba 0714890118.
Nahitaji mtu anayeweza kupika chakula kwa ajili ya mgahawa kama wali, pilau, ugali ndizi na vitafunio kama andazi, chapati na vitafunio vingine.
Pia anahitajika mkaangaji wa chips.
Pia kama mtu atahitaji naweza kumkodisha sehemu ya kupika chips au chakula, yeye akaja tu na viazi na kuanza kazi vifaa vyote atatumia vilivyopo . Eneo la biashara ni kubwa kuna sehemu ya bar , pia tunaonyesha mpira na kuna jiko pia.
Eneo ni kinondoni B Karibu na open university. Aliyetayari naomba anitafute kwa namba 0714890118.