Huyu jamaa anafanana na Zitto Kabwe. Da kweli duniani wawili wawili..
Umechukuwa hii picha toka Mjengwa Blog unatakiwa uonyeshe source! Ni picha ya Zitto kapigwa kama siku tatu zilizopita. Mbali na kuwa Mbunge Zitto ni binadamu na mtanzania anayetakiwa kuishi maisha halisi ya Bongo. Big Up Zitto
umechukuwa hii picha toka mjengwa blog unatakiwa uonyeshe source! Ni picha ya zitto kapigwa kama siku tatu zilizopita. Mbali na kuwa mbunge zitto ni binadamu na mtanzania anayetakiwa kuishi maisha halisi ya bongo. Big up zitto