Anachotaka ni mimba tu!

Wala hakuitaji hata ushauri kwako kuamua, kama anaiheshimu ndoa yake asithubutu pili anauhakika gani kama huyo mama mumewe alikufa kwa maradhi gani. Yeye ni mtu mzima asithubutu kujaribu ni hatari sana kwani akishashawishika kwenye swala la mimba litahamia kwenye malezi na kisha atataka waretain mapenzi. Hivi na mkewe akitaka kukumbushia aliyemtoa bikra na habari zikimfikia rafiki yako atajisiaje?


waliooa wanawake wasio na bikira mna shida kweli, poleni sana.
Jamaa yako ksha kumbushia tayari,
 
Hiyo tabia ya wanawake kusema nipe mimba siju huwa ni wanawake wote wanapopagwa na mapenzi ndio huwazia hayo au ni baadhi tu,utampa hiyo mimba na kintakachokuja kuzaliwa ni kiumbe kinachoishi na kitakuwa kina mahitaji ya lazima kama kuwa na Baba na Mama,na mengine ambayo yatamfanya aishi,sasa unapokubali hayo ujue atakapozaliwa lazima hivyo vitu avipate na huyo anaesema we nipe mimba halafu uniachie nitatunza mtoto nakuhakikishia hakuna ukweli kwenye hilo bro,moto utakaokuwakia utajuta kwanini ulifanya huo ujinga kwani mkeo ujue ni lazima atakuja ajue kwani hakuna siri kwenye hayo mambo na ndoa yako itakuwa tayari imeingia mahali pabaya sana,nakushauri uachane na hivyo vishawishi vyake vya kijinga na kama anahitaji sex use a Condom.
bora ulivomuambia mana ni atagandwa mpaka atatamani kurudisha siku nyuma zen akatae kufanya ilo tendo ila haitawezekana tena
 
Mhh ushauri anaoomba na atakaopewa ni mmoja tuu
Aheshimu ndoa yake na mke wake na mtoto wake
hakuna kingine cha kumwambia maana kama yalishapita kwa huyo mama wa zamani yashapita na aheshimu ndoa ya mwenzake
Na jamaa ajifikirie mkewe akijua itakuwaje
na huyo mama amejuaje kuwa akilala nae siku ya kwanza tuu atapata mimba anayoyotaka
na ni uhakika gani anaomwambia kuwa nataka tuu mtoto malezi niachie
Je akinogewa na penzi la jamaa na akarudi kuisumbua ndoa yake
Je mtoto akizaliwa na malezi yakamshinda huyo mama na akaja kumsumbua huyu jamaa kwenye ndoa yake itakuwaje
Kuna uhakika gani kuwa malezi yatakuwa kwa mama tuu bila jamaa kushirikishwa
 
Mhh ushauri anaoomba na atakaopewa ni mmoja tuu
Aheshimu ndoa yake na mke wake na mtoto wake
hakuna kingine cha kumwambia maana kama yalishapita kwa huyo mama wa zamani yashapita na aheshimu ndoa ya mwenzake
Na jamaa ajifikirie mkewe akijua itakuwaje
na huyo mama amejuaje kuwa akilala nae siku ya kwanza tuu atapata mimba anayoyotaka
na ni uhakika gani anaomwambia kuwa nataka tuu mtoto malezi niachie
Je akinogewa na penzi la jamaa na akarudi kuisumbua ndoa yake
Je mtoto akizaliwa na malezi yakamshinda huyo mama na akaja kumsumbua huyu jamaa kwenye ndoa yake itakuwaje
Kuna uhakika gani kuwa malezi yatakuwa kwa mama tuu bila jamaa kushirikishwa
iko cha msingi zaidi
 
waliooa wanawake wasio na bikira mna shida kweli, poleni sana.
Jamaa yako ksha kumbushia tayari,

Umenifanya nicheke peke yangu japo jambo ulilosema ni la kipuuzi. Umenikumbusha rafiki yangu aliyeoa bikira kumbe ni yeye peke yake pale kitaa alikuwa hajawahi kumnanihii huyo demu. Siku hizi hizo kitu zinatengenezwa. Lakini pia iko hivo, baada ya ndoa ya hiyo bikira unayotamani sana, yanapatikana "mafiga" mawili ya kukusaidia. Yatakuwa yanakumbushia kila mara!! Hahahahahh!!
 
Nimegundua hii siku hizi. Issue ikinitokea tu nasema jamaa yangu!!
 
hebu ampe hiyo mimba haraka sana, kwani rafiki hayo hana mayai?

Mwanamke kumuomba mimba mwanamme ujue yamemfika. Tena akichelewa naenda Dar kumpa mie mwenyewe
Ujue anaweza zaa rais.
 
Mhh ushauri anaoomba na atakaopewa ni mmoja tuu
Aheshimu ndoa yake na mke wake na mtoto wake
hakuna kingine cha kumwambia maana kama yalishapita kwa huyo mama wa zamani yashapita na aheshimu ndoa ya mwenzake
Na jamaa ajifikirie mkewe akijua itakuwaje
na huyo mama amejuaje kuwa akilala nae siku ya kwanza tuu atapata mimba anayoyotaka
na ni uhakika gani anaomwambia kuwa nataka tuu mtoto malezi niachie
Je akinogewa na penzi la jamaa na akarudi kuisumbua ndoa yake
Je mtoto akizaliwa na malezi yakamshinda huyo mama na akaja kumsumbua huyu jamaa kwenye ndoa yake itakuwaje
Kuna uhakika gani kuwa malezi yatakuwa kwa mama tuu bila jamaa kushirikishwa

Nimekusoma kaka Rocky..
 
hebu ampe hiyo mimba haraka sana, kwani rafiki hayo hana mayai?

Mwanamke kumuomba mimba mwanamme ujue yamemfika. Tena akichelewa naenda Dar kumpa mie mwenyewe
Ujue anaweza zaa rais.
t

tehtehteh..Kongosho bwana!...ila ujumbe wako nao utafanyiwa kazi!
 
Nimegundua hii siku hizi. Issue ikinitokea tu nasema jamaa yangu!!

Mkuu usiogope bwana kusema kama issue ni ya kwako..hata mimi ingekuwa ni ya kwangu ningesema tu bro..after all hapa hatufahamiani!..so, elewa tu kwamba ni issue ya mshkaji na inaweza kuwasaidia na wengine wenye tatizo linalofanana na hili!!
 
Back
Top Bottom