Tutafika
JF-Expert Member
- Nov 4, 2009
- 1,443
- 631
Wala hakuitaji hata ushauri kwako kuamua, kama anaiheshimu ndoa yake asithubutu pili anauhakika gani kama huyo mama mumewe alikufa kwa maradhi gani. Yeye ni mtu mzima asithubutu kujaribu ni hatari sana kwani akishashawishika kwenye swala la mimba litahamia kwenye malezi na kisha atataka waretain mapenzi. Hivi na mkewe akitaka kukumbushia aliyemtoa bikra na habari zikimfikia rafiki yako atajisiaje?
waliooa wanawake wasio na bikira mna shida kweli, poleni sana.
Jamaa yako ksha kumbushia tayari,