Bahimba
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 510
- 346
Nasikiliza Clouds FM hapa kipindi cha jahazi, Kibonde anajaribu kusafisha mto ulochafuka. Lakini mtazamo wangu ni kwamba anajaribu kutia sukari baharini, huku akimponda mtumishi wa mungu Baba Askofu kwamba anatumia ganja.
Anasema kuwa Mungu haangalii majina ya mtu, anasema Mungu anaangalia utendaji wa mtu.
Anasema kuwa Mungu haangalii majina ya mtu, anasema Mungu anaangalia utendaji wa mtu.