Macbook pro
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 665
- 902
Wewe subiria yako yakukute ..acha kuingilia yasiyokuhusu huwezi jua makubaliano yao
Makubaliano ndio yawe ya hivyo kweli ??? Dada we unaona ni sahihi ??
Wewe subiria yako yakukute ..acha kuingilia yasiyokuhusu huwezi jua makubaliano yao
Labda mimi ndo nina mtazamo hasi, huyu rafiki yangu Nakaa naye ghetto moja, Ingawa vyumba tofauti, Ana mchumba wake aliemaliza chuo Mwaka huu, huyu kidume ameajiriwa, ni mwalimu wa sekondari.
Kiukweli huyu jamaa anampenda sana huyu mdada, na ana malengo na huyu mdada, na ashamtambulisha huyu mdada hadi kwao..hata nikiwa na huyu mshkaji, msela anasema alitumia miaka miwili hadi kumpata huyu mdada, na anamsifia sana huyu mdada.
KINACHONISHANGAZA:
Mdada amemaliza chuo hajaajiriwa, ila kila mara akija ghetto kwa huyu mwanaume, mwanaume ndo ataosha vyombo, atapika, atafanya usafi, mdada hagusi chochote, hata kumsaidia jamaa kupika, yani mdada akija ghetto analiwa mzigo, hela anapewa, chakula anapikiwa Wanakula, halafu huyoo mdada anasepa.
Yani mwanamke unakuja kwa boyfriend aliekutambulisha kwao, mko kwenye uhusiano wa mda mrefu, tena unaonukia ndoa siku zijazo, unashindwa Walau hata kusaidia kupiga deki ghetto la Mwanaume wako, au kumpikia???? Sasa najiuliza.
1) Huyu mdada ni mvivu?
2)Hapendi kupika? Hajui kupika?
3) Anamchukulia jamaa kama mwanaume wa kupita??
Nauliza hivi kwasababu baadae hata mm yanaweza kunikuta yanayomkuta huyu jamaa hlf nisijue maamuzi ya kufanya.
Wenye uzoefu na hili mnipe mawazo yenu.
,Wewe ndo walewale.
anachofanya ni sawa kabisa, yeye hajawa mke bado kwanini aanze kujipa majukumu yasiyomuhusu? kutambulishwa sio ndoa. Hata mimi kabla sijaolewa nilikuwa hivyo kwa bf wangu ambae ndie mume wangu sasahivi na nilimwambia kabisa mimi sio mvivu hakuna kazi inayonishinda ila kamwe siwezi kumfanyia mwanaume ambae sio mume wangu na alielewa vizuri tu, uzuri yeye alipanga nyumba nzima kila kitu ni ndani kwa ndani kwahyo majirani wa aina yako hawakuwa wanaona kinachoendelea
Ni makosa sana kumfukuzia demu kwa miaka mingi sijui miaka miwili unafukuzia mwanamke. Utakuja kubebeshwa zigo la mavi ukijua ni Viazi.
Huu ndio ukweli mchungu na ndio tatizo lilipoanzia. Japo wadau humu wamekazania kumwambia mtoa mada afatilie mambo yake wakati sote tupo MMU kufuatilia matukio kama hayo yanayowatokea watu na kuelimishana.
Sawa asiingilie mahusiano ya watu, lakini ajifunze kutokana nayo.
Sioni shida yeyote kwa maana hata mkifanyiwa mnatuchukulia sisi ni hivyoo .Labda mimi ndo nina mtazamo hasi, huyu rafiki yangu Nakaa naye ghetto moja, Ingawa vyumba tofauti, Ana mchumba wake aliemaliza chuo Mwaka huu, huyu kidume ameajiriwa, ni mwalimu wa sekondari.
Kiukweli huyu jamaa anampenda sana huyu mdada, na ana malengo na huyu mdada, na ashamtambulisha huyu mdada hadi kwao..hata nikiwa na huyu mshkaji, msela anasema alitumia miaka miwili hadi kumpata huyu mdada, na anamsifia sana huyu mdada.
KINACHONISHANGAZA:
Mdada amemaliza chuo hajaajiriwa, ila kila mara akija ghetto kwa huyu mwanaume, mwanaume ndo ataosha vyombo, atapika, atafanya usafi, mdada hagusi chochote, hata kumsaidia jamaa kupika, yani mdada akija ghetto analiwa mzigo, hela anapewa, chakula anapikiwa Wanakula, halafu huyoo mdada anasepa.
Yani mwanamke unakuja kwa boyfriend aliekutambulisha kwao, mko kwenye uhusiano wa mda mrefu, tena unaonukia ndoa siku zijazo, unashindwa Walau hata kusaidia kupiga deki ghetto la Mwanaume wako, au kumpikia???? Sasa najiuliza.
1) Huyu mdada ni mvivu?
2)Hapendi kupika? Hajui kupika?
3) Anamchukulia jamaa kama mwanaume wa kupita??
Nauliza hivi kwasababu baadae hata mm yanaweza kunikuta yanayomkuta huyu jamaa hlf nisijue maamuzi ya kufanya.
Wenye uzoefu na hili mnipe mawazo yenu.
Ingilia ya watu yatakutokea puani! Ndugu mapenzi mengine yaache kama yalivyo we ingilia tu uje uone yanavyokuzonga utaonekana Bata..
Hivyo mi kihelehele Sana..??🙄Yani nsingeona reply yako sijui ingekuaje
Hivyo mi kihelehele Sana..??
Pilipili usiyoila inakuwasha vipi?Labda mimi ndo nina mtazamo hasi, huyu rafiki yangu Nakaa naye ghetto moja, Ingawa vyumba tofauti, Ana mchumba wake aliemaliza chuo Mwaka huu, huyu kidume ameajiriwa, ni mwalimu wa sekondari.
Kiukweli huyu jamaa anampenda sana huyu mdada, na ana malengo na huyu mdada, na ashamtambulisha huyu mdada hadi kwao..hata nikiwa na huyu mshkaji, msela anasema alitumia miaka miwili hadi kumpata huyu mdada, na anamsifia sana huyu mdada.
KINACHONISHANGAZA:
Mdada amemaliza chuo hajaajiriwa, ila kila mara akija ghetto kwa huyu mwanaume, mwanaume ndo ataosha vyombo, atapika, atafanya usafi, mdada hagusi chochote, hata kumsaidia jamaa kupika, yani mdada akija ghetto analiwa mzigo, hela anapewa, chakula anapikiwa Wanakula, halafu huyoo mdada anasepa.
Yani mwanamke unakuja kwa boyfriend aliekutambulisha kwao, mko kwenye uhusiano wa mda mrefu, tena unaonukia ndoa siku zijazo, unashindwa Walau hata kusaidia kupiga deki ghetto la Mwanaume wako, au kumpikia???? Sasa najiuliza.
1) Huyu mdada ni mvivu?
2)Hapendi kupika? Hajui kupika?
3) Anamchukulia jamaa kama mwanaume wa kupita??
Nauliza hivi kwasababu baadae hata mm yanaweza kunikuta yanayomkuta huyu jamaa hlf nisijue maamuzi ya kufanya.
Wenye uzoefu na hili mnipe mawazo yenu.
Makubaliano gani hapo una sapoti ujingaWewe subiria yako yakukute ..acha kuingilia yasiyokuhusu huwezi jua makubaliano yao