Anaandika Zuhura Yunus wa BBC

Keshakuwa brainwashed huyo mama, anaona Muingereza ndio kipimo cha kila kitu kwa kuwa tu wanamuwezesha kwenda chooni, mbona hasemi kuna za Ulaya kama Swedeni, Island hazijafanya lockdown, Wananchi walikuwa wanajiachia tu zaidi hata Bongo, Bars zote, migahawa, masoko, parks zipo wazi na maambukizi na waliokufa Sweden ni wachache kuliko huko kwa mataahira Uingereza


Lkn bado sijaona sehemu nilipojilinganisha na Sweden au Island, isitoshe nilikuwa napinga alichoandika kwa kumpa mifano mingine ambayo alipaswa kuiongelea pia kwamba kuna nchi hazijafanya lockdown na hawako vibaya sana ukilinganisha na zile zilizofanya lockdown, kama Sweden, Island na hata Taiwani ingawaje wako karibia na China lkn hawakufunga uchumi wao, usichukulie habari katikati, ...
 
NAWAZA kwa nini baadhi ya nchi za AFRIKA zinaona tabu kufanya LOCKDOWN au hata PARTIAL LOCKDOWN katika kupambana na janga la COVID-19?

NAWAZA inakuwaje baadhi ya nchi nyingine za kimagharibi na hata za Afrika Mashariki na Kati zimefanikiwa vipi kukabiliana na janga hili hata wasiwe na kifo hata kimoja.

NAWAZA iwapo mabasi ya masafa marefu, yaani mikoani yanaweza kuzuiwa ili kupunguza kasi ya kusambaza virusi vya korona.

NAWAZA kama safari za ndege za kuingia nchi za Afrika pamoja na safari zozote mipakani zisitishwe kwa muda mpaka nchi ziweze kudhibiti kusambaa kwa virusi vya korona.

NAWAZA kuhusu nchi zenye kutumia usafiri wa maji kusitisha safari hizo kwa muda.

NAWAZA kwani nikiswali nyumbani bila ya kwenda msikitini/kanisani dua yangu haitopokelewa?

NAWAZA hivi Mungu mwingi wa Rehema ataniadhibu au kunipa madhambi kwa sababu sijaenda kufanya maombi kwenye nyumba ya ibada na badala yake nikasali nyumbani?
NAWAZA ili watu wasikose rizki, hatuwezi kuwa wabunifu na kutumia bodaboda kununua vitu na kutuachia nje ya nyumba.

NAWAZA Hawawezi watu wakapanga foleni na kuingia mmoja mmoja madukani kuepusha kusambaa kwa virusi vya korona.
NAWAZA mama lishe, wauza vitafunio asubuhi kama vitumbua n.k, hawawezi kwenda kwenye maeneo yao kwa muda maalum na kwa zamu na kuondoka haraka baada tu ya kumaliza kuuza vyakula hivyo.

NAWAZA nchi za Afrika haziwezi kusitisha kudai bili za maji au angalau kupunguza gharama za kulipia.

NAWAZA wauza bidhaa masokoni hawawezi kukaa mita mbili baina ya muuzaji na muuzaji.

NAWAZA serikali hazina mifuko maalum ya maafa na dharura kuweza kugawa chakula kwa familia ambazo hazitoweza kumudu chakula wakati wa PARTIAL LOCKDOWN.

NAWAZA pesa za makusanyo ya kodi haziwezi kutumika kugawa kwa kila familia simu moja ya mkononi angalau wanafunzi waweze kudurusu kwa njia ya kidijitali.
NAWAZA mabadiliko na ubunifu muhimu hasa kununua vitu mtandaoni na kwa njia za simu.

NAWAZA kuna ubaya gani kujua takwimu za watu wote waliopimwa, walioathirika na kufa kutokana na virusi ili niweze kujikinga zaidi.

NAWAZA Mwana Mfalme na Waziri Mkuu wa Uingereza walijitangaza walipoathirika ila kuna usiri mkubwa miongoni mwa viongozi.
rubbish
 
Na ndicho anachofanya huyo mama, analinganisha visivyolingana, eti sijui mbona prince Charles kafanya hivi kwa nini na sisi tusifanye, mbona prince Charles anakula nyama ya Nguruwe yeye hali/haruhusiwi ?
😀😀😀😀
 
Huyo mama akili hana.. Huo ugonjwa wao wa kubuni utawamaliza wao wenyewe Asituletee propaganda zao Za kimagharibi hapa tz
 
Back
Top Bottom