Anaandika Zuhura Yunus wa BBC

Ss ni sawa na tupo kwe lockdown. Maana hakuna raia wa Tz anaweza vuka mpaka akapokelewa nchi nyingine, Watumishi tu wa serikali ndo wapo makazini ila private sector nyingi tayari hakuna biashara. Ss hivi tukazane na kilimo, kuuza vyakula na matunda nje sababu tukitegemea kodi itakula. Lockdown tunayoishadadia isitolewe ni ya kwenda kununua samaki na mboga labda na ya kuabudu.


Hiyo ni Dunia nzima, nchi zimezuia wageni kuingia hata hao waliotuzuia kuingia kwao na wao wamezuiwa pia kuingia nchi nyingine karibia zote, hakuna zinazotoa viza wala Ndege haziruki, hivyo siyo kwamba sisi tumezuiwa kwa sababu hatuna lockdown, bali hata walioweka lockdown wamezuiwa pia.
 
Ungesoma taratibu ungemuelewa alafu usinge reply kwa muhemko na kupanic mkuu. Yeye amesema "nawaza" means ni mawazo yake sio ushauri wala mapendekezo kwamba tufanye!

Kila mmoja ana mawazo yake na si dhambi kuwaza.

Calm down ma'm


Hata mimi ni mawazo yangu pia, mbona kama unafanya kile kile unachonishutumu kukifanya?
 
Keshakuwa brainwashed huyo mama, anaona Muingereza ndio kipimo cha kila kitu kwa kuwa tu wanamuwezesha kwenda chooni, mbona hasemi kuna za Ulaya kama Swedeni, Island hazijafanya lockdown, Wananchi walikuwa wanajiachia tu zaidi hata Bongo, Bars zote, migahawa, masoko, parks zipo wazi na maambukizi na waliokufa Sweden ni wachache kuliko huko kwa mataahira Uingereza walikofunga kila kitu na kubomoa Uchumi lkn bado wamekufa kwa wingi zaidi, ...
wewe kiazi kweli yan...unamlazimisha mtu awaze unavyowaza wewe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeshakwambia hata kama ,,likiwafyekea mbali“ hata wewe siyo immortal, kifo siyo cha kuchekana kwani ni swala la muda tu, kama siyo ugonjwa ni ajali au chochote kile, ...
Kumbe huwa mnajua kifo sio Cha kuchekeana ? Mbona mlitaka kumuuq Tundu lissu??


Nyie kiboko yenu ni covid pumbavu lazima iwafyeke, tunza hii comment .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haijalishi kama wewe au Wazazi wako mnadharau au hamdharau wewe umesema Wabunge wanaokufa na makansa, korona ni wa CCM, nimeshangaa kauli kama hiyo itoke kwa binadamu ambaye hajui kesho yake, kansa hata wewe au Wazazi wako mnaweza kuwa nayo pia kama hao ,,Wabunge wa CCM“ , ...

Aisee kifo nikibaya sana!Hata wewe mtukufu Malaika Mkuu,umeanza kuogopa!Jinsi ulivyo kuwa unamuombea kifo Lissu, sikuwahi kujua kama ipo siku utaugua wala Kufa! ...No kweli umeanza kuwa mpole hivi!
 
Hiyo ni Dunia nzima, nchi zimezuia wageni kuingia hata hao waliotuzuia kuingia kwao na wao wamezuiwa pia kuingia nchi nyingine karibia zote, hakuna zinazotoa viza wala Ndege haziruki, hivyo siyo kwamba sisi tumezuiwa kwa sababu hatuna lockdown, bali hata walioweka lockdown wamezuiwa pia.
Ss tuliruhusu ndege za watalii kuingia mpaka ilipotokea kuwa hakuna nchi inaruhusu watu wake kutalii wakati huu.

Ni tumeingia kwe automatic lockdown bila kupanga. Hatukuchagua kufunga mipaka.

Na hata leo ikitokea nchi fulani inataka kuleta watalii, uwezekano ni mkubwa kuruhusiwa kwenda kutalii kwa utaratibu fulani hivi tutakaojiwekea kuhalalisha hilo. Ila ww nenda china saa hii kwamba unataka kutalii.
 
Ss tuliruhusu ndege za watalii kuingia mpaka ilipotokea kuwa hakuna nchi inaruhusu watu wake kutalii wakati huu.

Ni tumeingia kwe automatic lockdown bila kupanga. Hatukuchagua kufunga mipaka.

Na hata leo ikitokea nchi fulani inataka kuleta watalii, uwezekano ni mkubwa kuruhusiwa kwenda kutalii kwa utaratibu fulani hivi tutakaojiwekea kuhalalisha hilo. Ila ww nenda china saa hii kwamba unataka kutalii.


Yah hamna shida, sisi hatuna lockdown.
 
Ungesoma taratibu ungemuelewa alafu usinge reply kwa muhemko na kupanic mkuu. Yeye amesema "nawaza" means ni mawazo yake sio ushauri wala mapendekezo kwamba tufanye!

Kila mmoja ana mawazo yake na si dhambi kuwaza.

Calm down ma'm
Neno lake siyo sheria useme ni lazma ufuate
 
NAWAZA kwa nini baadhi ya nchi za AFRIKA zinaona tabu kufanya LOCKDOWN au hata PARTIAL LOCKDOWN katika kupambana na janga la COVID-19?

NAWAZA inakuwaje baadhi ya nchi nyingine za kimagharibi na hata za Afrika Mashariki na Kati zimefanikiwa vipi kukabiliana na janga hili hata wasiwe na kifo hata kimoja.

NAWAZA iwapo mabasi ya masafa marefu, yaani mikoani yanaweza kuzuiwa ili kupunguza kasi ya kusambaza virusi vya korona.

NAWAZA kama safari za ndege za kuingia nchi za Afrika pamoja na safari zozote mipakani zisitishwe kwa muda mpaka nchi ziweze kudhibiti kusambaa kwa virusi vya korona.

NAWAZA kuhusu nchi zenye kutumia usafiri wa maji kusitisha safari hizo kwa muda.

NAWAZA kwani nikiswali nyumbani bila ya kwenda msikitini/kanisani dua yangu haitopokelewa?

NAWAZA hivi Mungu mwingi wa Rehema ataniadhibu au kunipa madhambi kwa sababu sijaenda kufanya maombi kwenye nyumba ya ibada na badala yake nikasali nyumbani?
NAWAZA ili watu wasikose rizki, hatuwezi kuwa wabunifu na kutumia bodaboda kununua vitu na kutuachia nje ya nyumba.

NAWAZA Hawawezi watu wakapanga foleni na kuingia mmoja mmoja madukani kuepusha kusambaa kwa virusi vya korona.
NAWAZA mama lishe, wauza vitafunio asubuhi kama vitumbua n.k, hawawezi kwenda kwenye maeneo yao kwa muda maalum na kwa zamu na kuondoka haraka baada tu ya kumaliza kuuza vyakula hivyo.

NAWAZA nchi za Afrika haziwezi kusitisha kudai bili za maji au angalau kupunguza gharama za kulipia.

NAWAZA wauza bidhaa masokoni hawawezi kukaa mita mbili baina ya muuzaji na muuzaji.

NAWAZA serikali hazina mifuko maalum ya maafa na dharura kuweza kugawa chakula kwa familia ambazo hazitoweza kumudu chakula wakati wa PARTIAL LOCKDOWN.

NAWAZA pesa za makusanyo ya kodi haziwezi kutumika kugawa kwa kila familia simu moja ya mkononi angalau wanafunzi waweze kudurusu kwa njia ya kidijitali.
NAWAZA mabadiliko na ubunifu muhimu hasa kununua vitu mtandaoni na kwa njia za simu.

NAWAZA kuna ubaya gani kujua takwimu za watu wote waliopimwa, walioathirika na kufa kutokana na virusi ili niweze kujikinga zaidi.

NAWAZA Mwana Mfalme na Waziri Mkuu wa Uingereza walijitangaza walipoathirika ila kuna usiri mkubwa miongoni mwa viongozi.
Lockdown inasaidia sana,nchi kama India imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kutokana na lockdown,hebu fikiria Wahindi walivyo wengi na misongamano kwenye miji yao.
 
Back
Top Bottom