Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Ss ni sawa na tupo kwe lockdown. Maana hakuna raia wa Tz anaweza vuka mpaka akapokelewa nchi nyingine, Watumishi tu wa serikali ndo wapo makazini ila private sector nyingi tayari hakuna biashara. Ss hivi tukazane na kilimo, kuuza vyakula na matunda nje sababu tukitegemea kodi itakula. Lockdown tunayoishadadia isitolewe ni ya kwenda kununua samaki na mboga labda na ya kuabudu.
Hiyo ni Dunia nzima, nchi zimezuia wageni kuingia hata hao waliotuzuia kuingia kwao na wao wamezuiwa pia kuingia nchi nyingine karibia zote, hakuna zinazotoa viza wala Ndege haziruki, hivyo siyo kwamba sisi tumezuiwa kwa sababu hatuna lockdown, bali hata walioweka lockdown wamezuiwa pia.