Jkosewe
Member
- Feb 22, 2020
- 32
- 27
Habari wanaJF,
Naomba ufafanuzi juu ya sheria hii
Mimi ni binti ambaye nipo kwenye mahusiano na mwanaume ambaye alishaoa toka mwaka 2015 kwa ndoa ya kikristo na toka nipo naye kwenye mahusiano tuna mwaka 1 na miezi 2
Na kipindi chote hicho tulikuwa tunaishi kama wapenzi na wanajamii walimfahamu kuwa ni mume wangu pamoja na baadhi ya ndugu. Mwaka jana nikafanikiwa kupata ujauzito japo mke wake hana uwezo wa kupata ujauzito kwa muda huo wote.
- Je kisheria mimi nitajulikana kama nani?
- Je nitakuwa na uwezo wa kudai haki yangu pamoja na mtoto?
- Pia naomba ushauri juu ya hili swala maana mke wake hafahamu hili swala?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba ufafanuzi juu ya sheria hii
Mimi ni binti ambaye nipo kwenye mahusiano na mwanaume ambaye alishaoa toka mwaka 2015 kwa ndoa ya kikristo na toka nipo naye kwenye mahusiano tuna mwaka 1 na miezi 2
Na kipindi chote hicho tulikuwa tunaishi kama wapenzi na wanajamii walimfahamu kuwa ni mume wangu pamoja na baadhi ya ndugu. Mwaka jana nikafanikiwa kupata ujauzito japo mke wake hana uwezo wa kupata ujauzito kwa muda huo wote.
- Je kisheria mimi nitajulikana kama nani?
- Je nitakuwa na uwezo wa kudai haki yangu pamoja na mtoto?
- Pia naomba ushauri juu ya hili swala maana mke wake hafahamu hili swala?
Sent using Jamii Forums mobile app