Mtoto nje ya ndoa ana haki ya urithi?

MKWEAMINAZI

JF-Expert Member
May 28, 2023
930
1,299
Wadau wa Masuala ya Mirathi naomba ufafanuzi juu ya hili. Je, Sheria inasemaje juu ya Mtoto aliyepatikana NJE ya NDOA je ana HAKI ya Kurithi MALI zilichochumwa na WANANDOA hao?
 
Swali linatoka kwa nani??

As long as ni mtoto wako, awe wa nje ya ndoa, ndani ya ndoa, pembeni ya ndoa, ana haki sawa sawa na watoto wengine.

Unless kama kuna mambo mengine binafsi yasiyojulikana lakini naombeni mumpe na yeye kiasi kidogo mzazi wake alichotafuta. Hakuomba azaliwe nje ya ndoa, ni starehe za wazazi wake.
 
Swali linatoka kwa nani??

As long as ni mtoto wako, awe wa nje ya ndoa, ndani ya ndoa, pembeni ya ndoa, ana haki sawa sawa na watoto wengine.

Unless kama kuna mambo mengine binafsi yasiyojulikana lakini naombeni mumpe na yeye kiasi kidogo mzazi wake alichotafuta. Hakuomba azaliwe nje ya ndoa, ni starehe za wazazi wake.
what does the law say?
 
Swali linatoka kwa nani??

As long as ni mtoto wako, awe wa nje ya ndoa, ndani ya ndoa, pembeni ya ndoa, ana haki sawa sawa na watoto wengine.

Unless kama kuna mambo mengine binafsi yasiyojulikana lakini naombeni mumpe na yeye kiasi kidogo mzazi wake alichotafuta. Hakuomba azaliwe nje ya ndoa, ni starehe za wazazi wake.
Hoja ni sheria mkuu sio hisani Je inasemaje??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom